Ofisini kwetu tulipokea kesi ya binti mwenye umri wa miaka 20 aliyepasuliwa tumbo wakati wa kujifungua., wakamshonea uchafu wote tumboni hadi kondo la nyuma. Jambo lililopelekea kizazi kuoza kikatolewa wakati mtoto aliyezaliwa alifariki. Je huu si ukatili wa kijinsia? | Our office we received a case of a daughter 20 years old, who pierced the womb during childbirth., And sewing all the dirt womb to the placenta. Something lililopelekea generation kikatolewa decay when the baby was born she died. Is this not violence? | Edit |