Base (Swahili) |
English |

Sehemu ya wananchi wa Kata ya Misugusugu katika halmashauri ya Mji wa Kibaha walioshiriki katika uzinduzi wa Zahanati wakati wa Sherehe za Mbio za Mwenge, Ambapo Pwani-DPA kwa kuhamasisha jamii kuchangia kushiriki kufanya usafi wa mazingira katika ngazi ya kaya ili kupunguza mazalia ya Mbu
|

Part of the citizens of Ward Misugusugu in the council of the City of Kibaha who participated in the inauguration of the clinic at the Feast of Uhuru Torch race, Where Coast-DPA by encouraging communities to contribute share to sanitation at the household level to reduce the breeding of mosquitoes
|