Kuhusu
Peleleza
Tafuta
Jitolee
Mabadiliko
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Fungua
/swaa-morogoro/history
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
Society for women i and Aids in Africa (SWAA) ni shirika lililoanzishwa na wanawake wa Africa miaka 18 iliyopita na Tanzania kuwa na Tawi tangu mwaka 1998 makao yake makuu yakiwa Dar-es salaam. Mwaka 2009 february lilipata usajili wake kamili kwa msajili wa mashirika yasiyo ya kiserikali, na kupewa namba 0912 ,certificate ya comliance hivyo kuwa huru kufanya kazi kama shirika rasmi na lenye kutoa taarifa zinazojitegemea. – Tangu mwaka 2005 tukiwa kwenye mwamvuli tulifanya kazi...
(Bila tafsiri)
Hariri