Kuunganisha mashirika yasiokuwa ya Kiserikali yaliomo wilayani Bagamoyo ili kuwapatia maendeleo, umoja, na fursa ya kutangaza maendeleo yao katika ujenzi wa wilaya yao ya Bagamoyo. – Kutangaza na kufahamisha jamii kuhusu maendeleo, changamoto na vivutio vya wilaya ya bagamoyo. | (Not translated) | Edit |