Asili (Kiingereza) | Kiswahili |
---|---|
TARATIBU ZA CHUO
10. Mwanachuo anapaswa kutunza vyema mazingira yote ya Chuo ikiwa ni pamoja na zana / vifaa vya Ofisini, Darasani, Jikoni, Chooni, “Workshop” n.k. 11. Iwapo mwanachuo atafanya uharibifu wowote ule wa mali ya chuo kwa kukusudia, atalazimika kulipa gharama zote za uharibifu huo. 12. Mwanachuo anayo fursa ya kutumia zana na vifaa mbali mbali vya Chuo kwa siku zote za wiki, ila tu amuombe mhusika. 13. Mwanachuo anayo fursa ya kukopa mashine ya kazi (charahani/overlock) kwa masharti yaliyowekwa na chuo. 14. Mwanachuo yeyote atakae kiuka taratibu hizi, hatua za kinidhamu zitachukuliwa dhidi yake.
KIAPO Mimi ……………………………………………..……. naahidi kufuata taratibu zote zilizopo hapo juu.
………………………………… ……………………………….. Sahihi ya Mwanachuo Sahihi ya Mdhamini/Mzazi
Sahihi ya Mkuu wa Chuo ……………………..
The Modern Tailoring Academy Tel 0777 – 465785 / 0777 - 849219Magomeni Zanzibar
|
(Bila tafsiri) |
Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe