kuhamasisha upimaji wa virus vya ukimwi kwa jamii kwa hiyari – kutoa msaada kutegemeana na tuupatapo kutoka kwa wahisani kwenda kwa waishio na virus vya ukimwi.na kuhakikisha inawafikia walengwa kama ilivyopangwa. – kujengea uwezo kwa waliogundulika na virusi vya ukimwi kuishi kwa makundi yenye matumaini – kupigania na kutetea haki za watu wanaoishi na virusi vya ukimwi na watoto yatima watokanano na kufiwa na wazazi wao (mmoja au wote) ... | (Bila tafsiri) | Hariri |