Base (Swahili) | English |
---|---|
Kikao cha viongozi wa Asasi kwa ajili ya kuwaandaa washiriki kimefanyika tarehe 12/2/2011. Katika picha ni viongozi wa Kata ya Malatu na Mchemo. Viongozi hao walikuwa wanasikiliza maelekezo ya sifa za kuteua washiriki.
Katika picha Makamu Mwenyekiti Ndugu Mohamedi R Ngozi aliyesimama katika picha alifungua kikao cha viongozi wa serikali na kuwasisitiza umakini na uaminifu katika kuwaleta washiriki. Katika picha kulia ni Mkurugenzi Ng'onye John naye alitoa msisitizo kuwateua washiriki kwa kuzingatia idadi. Mtunza hazina mama Veronika Maluchila aliyesimama katika picha aliwashukuru viongozi wote kwa mahudhurio mazuri na alisisitiza idadi waliyopewa maafisa watendaji kutoka kata za Malatu na Mchemo kuzingatia ili kwenda sambamba na bajeti ya Mradi.
|
Session leaders prepare organizations for participants has been done on 02.12.2011. In the picture are leaders and Mchemo Malatu County. Those leaders were listening to the instructions of the features of appointing members. In pictures Vice Chairman Mohamed R Ngozi brothers who stood in the photo session was opened by government officials kuwasisitiza seriously and honestly in bringing participants. In the picture at right is Director Ng'onye John also gave emphasis appoint members based on population. Treasurer Veronika Maluchila mother who stood in pictures He thanked the officials for good attendance and insisted they were given numbers from the county executive officers of Malatu and Mchemo take to go along with the project budget. |
Translation History
|