Asili (Kiswahili) | Kiswahili |
---|---|
Ikiwa imebakia miaka karibu minne(4) kabla uchaguzi mkuu wa Madiwani,Wabunge na Rais, bado idadi kubwa ya wananchi walioko katika magereza mbalimbali nchini hawana matumaini ya kupiga kura kuchagua viongozi wao. Wapo ambao ni mahabusu na wengine ni wafungwa. Je kuna utaratibu unaowaruhusu wafungwa ambao tarehe ya uchaguzi watakuwa wamemaliza vifungo vyao wataruhusiwa kupiga kura? Je mahabusu ambao kesi zao hazijasikilizwa na upelelezi haujakamilika, je watapata nafasi ya kupiga kura? (maana wao ni watuhumiwa tu )Je kuna utaratibu wa kuruhusu vituo vya kupigia kura maeneo ya magereza na mahabusu? |
(Bila tafsiri) |
Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe