Envaya

/pft/topic/93775: English: dM000C112B55C3F000093776:content

Base (Swahili) English

Ikiwa imebakia  miaka karibu minne(4) kabla  uchaguzi  mkuu wa Madiwani,Wabunge na Rais, bado idadi  kubwa  ya  wananchi walioko katika  magereza  mbalimbali nchini  hawana matumaini  ya kupiga  kura  kuchagua viongozi  wao. Wapo  ambao  ni  mahabusu  na  wengine  ni  wafungwa. Je kuna utaratibu  unaowaruhusu wafungwa ambao tarehe  ya  uchaguzi  watakuwa  wamemaliza  vifungo  vyao wataruhusiwa kupiga  kura? Je mahabusu ambao kesi  zao hazijasikilizwa na upelelezi haujakamilika, je watapata nafasi  ya kupiga  kura? (maana  wao  ni  watuhumiwa tu )Je kuna  utaratibu  wa kuruhusu  vituo vya  kupigia  kura  maeneo ya magereza na mahabusu?

Have remained nearly four years (4) before the general election of Councillors, MPs and the President, still a large number of people living in various prisons across the country are hoping to vote to choose their leaders. Some who are inmates and other prisoners. Are there procedures allowing prisoners whose date of the election will have completed their sentences will be allowed to vote? Do inmates who their case investigation zijasikilizwa and incomplete, do they have a chance to vote? (Meaning they are only suspects) Is there a mechanism to allow stations to prisons and inmate areas?


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
January 29, 2012
Have remained nearly four years (4) before the general election of Councillors, MPs and the President, still a large number of people living in various prisons across the country are hoping to vote to choose their leaders. Some who are inmates and other prisoners. Are there procedures allowing prisoners whose date of the election will have completed their sentences will be allowed to vote? Do inmates who their case investigation zijasikilizwa and incomplete, do they...