Envaya

/walipo/post/1502: English

BaseEnglish
Sasa hivi kikundi cha WALIPO kimechaguliwa na wilaya ya Meru kuelimisha jamii kuhusu ugonjwa wa kifua kikuu kwa kutumia sanaa mnato.Mpaka sasa tumekwenda sehemu mbali mbali za wilaya ya meru kutoa elimu hiyo.Tumefanikiwa sana kwani sanaa mnato tunayoionyesha jamii imekuwa ikiwavutia sana na tunawakusanya watu kirahisi na kuanza kuwapa somo.Maana ya sanaa mnato ni sanaa ambayo haitoi jibu.Tunaanza na kisa mkasa ambacho watu wanakuja kwa wingi kuangalia kulikoni na hapo hapo tunaaza kuvunja...Now this group of THEY HAVE BEEN CHOSEN BY Meru district to educate the community about TB by using art you to.Mpaka now we go to different parts of Meru district providing arts education hiyo.Tumefanikiwa viscosity, because we showed the community has been very ikiwavutia and we gathered the people easily and start giving somo.Maana of art viscosity is an art which does not provide jibu.Tunaanza story tragedy that people come in bulk check Likoni and then when we suppose to break the silence...Edit
(image) – Mimi naitwa Zephania Kyungai mwenyekiti wa kikundi cha sanaa WALIPO kilichoko Tengeru. Naishi na maambukizi ya virusi vya UKIMWA kwa muda wa miaka kumi. Baada ya kufuata ushauri wa daktari niliweza kuondoa usongo wa mawazo na sasa hivi naishi bila matatizo yoyote. Nafanya kazi zangu zote nahudumia familia yangu bila matatizo.(image) – I called Zephania Kyungai chairman of a group of art THEY Tengeru Canada. I live and UKIMWA virus infection for a period of ten years. After following the advice of a doctor I can eliminate stress and live right now without any problems. I do all my work nahudumia my family without problems.Edit