Envaya

/washema/post/30: Kiswahili: WIe4GSkDuBuhpqfgjBN8K4ac:content

Asili (Kiingereza) Kiswahili

Hamjambo! WAKIHABIMA ilipata mwaliko wa kuhudhuria kongamano la wasaidizi wa kisheria lilioandaliwa na shirika la Legal Services Foundation (LSF) huko Dodoma kuanzia tarehe 24- 25 Oktoba 2016. WAKIHABIMA kwenye kongamano hili ilipeleka wawakilishi 2; Mr Tanmoza Fungafunga- M/kiti na Bibi Mwanaafa Wadi Malenga- Mjumbe wa k/tendaji. Ni Matarajio ya kila mwana WAKIHABIMA kuwa sasa shirika letu litakuwa limefunguliwa milango zaidi ya mafanikio.

(Bila tafsiri)

Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe