Envaya

/sfasm/news: English: WI000C93E7A4A74000062105:content

Base (Swahili) English
 

STUDENTS' STAND UP CAMPAIGN.

Students` Stand up campaign ni mpango wa kutoa elimu na kuhamasisha vijana hususan wanafunzi juu ya kukataa na kukemea vitendo vya rushwa na maambukizi ya virusi vya ukimwi,Mpango huu ulianza rasmi katika shule ya Mayanga Sekondari mnamo tarehe 27/05/2011 chini ya SFASM kwa matarajio ya kuzifikia shule mbalimbali hasa maeneo ya Mtwara vijijini.Malengo makuu ya kuanzisha mpango huu ni kutaka kuwandaa na kuhamasisha vijana hasa Wanafunzi dhidi ya Rushwa na Maambukizi ya virusi vya Ukimwi na kuwafanya kuwa mabalozi bora katika jamii walizotoka kuanzia ngazi ya familia mpaka ya kitaifa.Vilevile mpango huu umeambatana na malengo mengine ikiwemo kuhamasisha wanafunzi juu ya elimu kwa mfano kuzingatia masomo,namna ya kujifunza na kuongeza kiwango cha kufaulu kama tatizo kubwa kwa shule za nyanda za kusini.

3.0 TATHMINI.

3.1.wanafunzi.

Wanafunzi wa Mayanga walioudhuria semina hiyo iliyotolewa na waelimishaji kutoka SFASM juu ya “Student’s Stand Up Campaign” iliyolenga kuhamasisha ukemeaji wa vitendo vya Rushwa katika mazingira ya shuleni na jamii kwa ujumla.Wafunzi wa Mayanga walionesha msisimuko mkubwa wa hamasa kwamba elimu ya rushwa kupitia semina hii waliomba iwe endelevu kwa kushirikisha taasisi mbalimbali mfano SFASM pindi mada ya rushwa inapofundishwa shuleni

                                           

Picha(a), ni Wanafunzi wa Mayanga sekondari akichangia mawazo juu ya uelewa kuhusu mada ya rushwa na picha (b) Wanafunzi waliojibu vizuri wakipokea zawadi na SFASM

      Picha(C), ni Mwenyekiti wa SFASM Bw. Anthony Living (mwenye miwani) akiwatambulisha rasmi mabalozi (Wahabi Makacha kidato cha pili na Asma Kaluma kidato cha nne) watakaowakilisha SFASM kama kikundi cha wakemea rushwa shuleni hapo, Kutokana na kuhamasika na elimu juu ya rushwa Wanafunzi waliweza kubainisha mifano mbalimbali ya rushwa inayotendeka katika mazingira yao ya shuleni na kuahidi kukabiliana nayo

 3.2.Waalimu.

Waalimu wa wanafunzi hao pia walionesha ushirikiano wa karibu na waelimishaji (SFASM) katika kufanikisha mpango kazi ulioandaliwa kwa wanafunzi hao juu ya rushwa.Mbali na waalimu hao kukubali kuwa walezi wa kikundi hicho cha wapinga rushwa hapo shuleni, pia walipendekeza SFASM kuendelea na jitihada hizo za uhamasishaji katika shule mbalimbali hususan zilizopo maeneo ya vijijini.Hata hivyo Waalimu wa shule hiyo walipewa fursa ya kutoa hamasa na wito kwa wanafunzi wao juu ya rushwa na jinsi ya kuiepuka.

 3.4 SFASM.                                       

Tathmini ya kikundi cha Wanazuoni hawa          imegawanyika katika makundi mawili ikiwemo,(a) Tathmini juu ya utayari wa Wanafunzi na Waalimu katika mada ya rushwa (b) tathmini juu ya shule na mazingira ya ufundishaji.

Katika tathmini ya utayari juu ya mada,ilionekana bayana kuwa asilimia kubwa ya Wanafunzi walionekana kuhamasika na kuelewa vizuri mada kwa uthibitisho wa kujibu maswali mbalimbali kwa usahihi yalioulizwa na Waelimishaji.Maswali hayo yaliambatana na zawadi mbalimbali ikiwemo Madaftari,Peni,Rula na Majarida yenye ujumbe juu ya rushwa.

 

Picha (d), Wanafunzi wa shule ya Mayanga sekondari (Darasani) wakifuatilia mada ya rushwa kwa makini..

 

Tathmini katika Shule ya Mayanga inaonesha bayana kuwa mazingira ya ufundishaji hayatoi morali au hamasa kwa wanafunzi hao kuelewa masomo mbalimbali kwa kiwango kinachotarajiwa,kwa mfano somo la Uraia (Civics) ambalo kuna mada juu ya rushwa kwa kidato cha pili (kwa mujibu wa mtaala wa shule za sekondari Tanzania).Hivyo ukosekanaji wa vifaa vya ufundishaji ikiwemo Vitabu,Majarida vipeperushi na ufundishwaji wa vitendo inapelekea uwelewa mdogo kuhusu rushwa.

 4, Changamoto.

Mbali na jitihada mbalimbali zinazofanywa na SFASM katika uhamasishaji juu ya kukemea vitendo vya rushwa ikiwemo kwa kutumia vyombo vya habari(mfano kumuhamasisha kijana kukataa rushwa katika uchaguzi;mwaka 2010),kuandaa semina(mfano mashuleni), kushiriki katika mada mbalimbali (mfano siku ya Wanawake duniani, Machi 8/2011) mada kuu ikiwemo “Rushwa kikwazo kikubwa katika elimu kwa maendeleo ya

mwanamke”,changamoto mbalimbali zinazojitokeza zimekuwa zikirudisha malengo ya SFASM.Miongoni mwa changamoto ambazo SFASM imekuwa ikikabiliana nazo ni ukosefu wa fedha za kufanikisha malengo tuliojiwekea,dhana na vitendea kazi kama vile Kompyuta (Computer) ,Mafaili Chombo cha usafiri,Printa(Printer) na mashine ya kutolea nakala (Photocopy machine),

Ushirikiano na mwitikio mdogo kati ya Asasi za kiserikali na za kibinafsi kwa mfano,juu ya kuviwezesha vikundi mbalimbali hususan vinavyohusu kukemea vitendo vya rushwa na vilevile mtazamo usio sahihi wa wakazi kuhusu rushwa,ikichukuliwa kama tatizo lisiloweza kuachanishwa au kupunguzwa katika jamii.

 

Picha(d), Wahamasishaji wa SFASM wakasubiri chombo cha usafiri (Pikipiki) kituo cha Iyali (Mtwara vijijini) kuelekea shule ya Mayanga umbali wa kilometa tano toka hapo kituoni

5. Mafanikio.

SFASM Imeweza kupata mihaliko mbalimbali ili kushiriki kutoa mada ikiwemo ndani na nje ya chuo cha Mt.Augustino tawi la Mtwara,pia kwa kutumia vyombo vya habari na mijadala imeweza kutoa hamasa kubwa kwa vijana kuwa na mwitikio wa uhanaharakati ili kuimarisha nguvu kazi ya Taifa.Hata hivyo imeweza kupata uwelewa mkubwa kutoka katika dawati la uelimishaji ofisi ya TAKUKURU,

 6. Hitimisho..

Mbali na changamoto mbalimbali ambazo kikundi hiki(SFASM) kinazipata,kimejiwekea malengo ya kuikomboa jamii hususani kielimu kutokana na matatizo mbalimbali kama ilivyoelezwa hapo awali kwa tathmini ya kila miaka mitano tangu ilipoanzishwa rasmi.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Students' Stand Up Campaign.

S tudents' Stand up campaign is planning to provide education and encourage young people especially students about the rejection and denouncing acts of corruption and the spread of HIV, this program began officially in Nyanga Secondary School on 27.5.2011 under SFASM to meet the expectations of schools, especially areas of Mtwara vijijini.Malengo major initiative is to encourage young people especially kuwandaa and Students Against Corruption and the prevalence of HIV and make the best ambassadors in the community that they origin from the family level to the national . Also this program has been accompanied by other goals included promoting higher education students to focus on subjects like how to learn and increase the level of success as a major problem for schools in the southern plains.

3.0 EVALUATION.

3.1.wanafunzi.

Student of Nyanga who attended the seminar presented by educators from SFASM on "Student's Stand Up Campaign" aimed at encouraging ukemeaji of acts of corruption in the context of school and community ujumla.Wafunzi Yanga they expressed bandwagon great excitement that education corruption through this seminar sustainability applied to various institutions engage SFASM example, if the topic of corruption inapofundishwa school

Images (a), are students of secondary Nyanga was able to contribute on the understanding on the topic of corruption and picture (b) Students who responded well and receiving gifts SFASM

Photo (C), is SFASM Mr. Chairman. Anthony Living (with glasses) was certainly a formal blogging (Wahabi rough form second and Asma Kaluma Form Four) will represent SFASM as a group, rebuked corrupt school, owing to motivated and educated about corruption Students were able to identify different models of corruption occurring in the environment their school and promised to deal with it

3.2.Waalimu.

Teachers of students also expressed much closer collaboration with educators (SFASM) to achieve the plan was prepared for students on rushwa.Mbali and teachers they agree to be guardians of the group of anti-corruption in the school, also suggested SFASM continue these efforts to promotion in schools, particularly existing sites so vijijini.Hata school teachers were given the opportunity to give impetus to calls for their students on corruption and how to flee from.

3.4 SFASM.

Evaluation of a group of these scholars are divided in two groups, including, (a) Evaluate the readiness of students and teachers on the topic of corruption, (b) evaluation of school and teaching environment.

In the assessment of readiness on the topic, it seemed clear that a large percentage of students seemed motivated and fully understand the topic in the proof of answering various questions correctly yalioulizwa and Waelimishaji.Maswali it yaliambatana and many honors, including notebooks, pens, rulers and papers with a message on of corruption.

Photo (d), Student of Nyanga Secondary School (Class) and following the topic of corruption carefully ..

Evaluation in the School of Nyanga shows clearly that the teaching environment did not reflect morali or motivation for students to understand various subjects to the extent expected, for example, the subject of Citizenship (Civics), which is the subject of corruption in Form II (according to the curriculum of schools secondary Tanzania). Thus absence of teaching materials including books, pamphlets and papers ufundishwaji practical overtaken by darkness leads to less corruption.

4, the challenge.

In addition to the bid range made by SFASM in awareness about denouncing acts of corruption, including through media (eg possible to sensitize youth to reject corruption in elections, in 2010), organizing seminars (eg schools), participation in various topics (eg on Women world, March 8 / 2011) including the main theme "Corruption obstacle to education for development

woman ", various challenges have been emerging zikirudisha SFASM.Miongoni goals of SFASM has been meeting the challenges that they are lack of money to achieve the goals we set, concepts and tools such as Computer (Computer), the container transport files, printer (printer) and Exhaust copy machine (photocopy machine),


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
November 6, 2011
Students' Stand Up Campaign. – S tudents' Stand up campaign is planning to provide education and encourage young people especially students about the rejection and denouncing acts of corruption and the spread of HIV, this program began officially in Nyanga Secondary School on 27.5.2011 under SFASM to meet the expectations of schools,...
Google Translate
September 27, 2011
Students' Stand Up Campaign. – S tudents' Stand up campaign is a plan to provide education and encourage young people especially students about rejection and denouncing acts of corruption and the spread of HIV, this program was officially started in secondary school in Nyanga on 27/05/2011 under SFASM to meet the expectations of...
This translation refers to an older version of the source text.