Envaya

/TEYODEN/post/115497: English: WInYu627myEGBF5vTUn1SkD3:content

Base (Swahili) English

MRADI WA MABINTI WALIOPEMBEZONI WATEMBELEWA NA MGENI KUTOKA MADAGASKA.

Mgeni wa kutoka Nchini Madagaska, Bi. Marium Toure ambaye ni Ofisa kutoka UNICEF Madagaska ametembelea mabinti ambao ni walengwa wa mradi wa kujenga uwezo wa mabinti waliozaa katika umri mdogo  na kutulekezwa na wenzi/familia  zao.

Mradi huu unatekelezwa  katika kata 4 za Manispaa ye Temeke, kwa ushirikiano kati ya TEYODEN watekelezaji,TAMASHA wasimamizi na POPULATION COUNCIL wafadhili.Lengo hasa ni kuwezesha wasichana hawa kupunguza changamoto za maisha walizonazo na kuwaepusha na maambukizi ya V.V.U imeelezwa sana katika taharifa,magazeti na tafiti kwamba wasichana hawa wapo katika hatari ya kupata mimba nyingine na hata maambuziki ya ukimwi kwa kuwa katika mazingira hatarishi.

Katika mazungumzo ya kubadilishana mawazo na wasichana mgeni huyu ambae aliambatana na Richard Mabala ambae ni mkurugenzi wa TAMASHA aliwataka wasichana kutohuzunika kwa kuwa wapo katika maisha yenye changamoto nyingi.

"kuzaa sio kosa,ila tatizo ni umri wenu kuwa mdogo pamoja na hayo mlipaswa kuwa katika uangalizi wa familia na waliowapa  mimba"alisema Bi. Marium.

Kwa mujibu wa Bi. Marium alieleza kuwa wasichana wa nchini ,Madagaska hawana programu kama hii zaidi ya progammu za kusaidia vijana hasa eneo la stadi za maisha na stadi za ujasiriamali.

Tatizo la wanajamii hasa vijana wa Madagaska ni kudai pesa kwa kila shughuli inayofanyika hata kama ina lengo la kuwasaidia wao wenyewe dhana ambayo anaishangaa sana kutoikuta kwa vijana wa Tanzania.

Marium alipongeza sana juhudi za TEYODEN na kusema kuwa wasichana wanatakiwa kutokata tamaa na kujichanganya kufanya hata kazi za kiume kama kuendesha bodaboda,kuosha magari na kazi nyingine ambazo zitawafanya kujipatia kipato na kupunguza umasikini.

Mwisho alimpongeza Bw. Mabara kwa kazi zake nzuri ambazo pia zimewasaidia vijana wa Madagaska.

 

THE DAUGHTER WALIOPEMBEZONI visited by visitors from Madagascar.

In visitor from Madagascar, Ms.. Marium Toure, who is the officer from UNICEF Madagascar has visited the daughters who are the beneficiaries of the project to build the capacity of girls who give birth at a young age and kutulekezwa and couples / families.

This project is implemented in the county four of the borough no Temeke, with the cooperation between TEYODEN implementers, festival managers and the Population Council wafadhili.Lengo specifically to enable these girls to reduce the challenges of life they have and kuwaepusha and HIV infections described in taharifa, papers and studies that these girls are at risk of another pregnancy and even maambuziki of infection to be risky.

In negotiating the exchange of ideas and girls this stranger who was accompanied by Richard, who is director of minus CONCERT depressant medication girls wanted to be there with many challenges in life.

"Birth is not done, but the problem is your age be limited along with it you should be in the care of family and who gave the child," said Ms. Marium.

According to Ms. Marium explained that girls in the country, Madagascar does not have programs like this more than progammu to help young people, especially the area of ​​life skills and entrepreneurial skills.

The problem of the community especially young people of Madagascar are demanding money for every transaction that takes place even if it has the goal of helping their own concept which is very ishangaa kutoikuta youth of Tanzania.

Marium highly commended the efforts of TEYODEN and say that girls are supposed to compromise kutokata desire to do the work of men like driving bodaboda, washing cars and other tasks that will keep making income and reduce poverty.

Finally he congratulated Mr. Continents with his work that are too young zimewasaidia Madagascar.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
July 6, 2012
THE DAUGHTER WALIOPEMBEZONI visited by visitors from Madagascar. – In visitor from Madagascar, Ms.. Marium Toure, who is the officer from UNICEF Madagascar has visited the daughters who are the beneficiaries of the project to build the capacity of girls who give birth at a young age and kutulekezwa and couples / families. – This project is implemented in the county four of the borough no Temeke, with the cooperation between TEYODEN...