Base (Swahili) | English |
---|---|
VIJANA (MDAHALO WA VIJANA)WATOA MAPENDEKEZO YA KUBORESHA SHUGHULI ZA MTANDAO WA VIJANA MANISPAA YA TEMEKE. Vijana kutoka wastani wa kata 10 walikutana katika kikao cha vijana katika ofisi ya Mtandao wa vijana manispaa ya Temeke kujadili namna ya kuendeleza shughuli ya mijadala ya vijana ambayo hufanywa 2 kila mwezi ili vijana kubadilishana uzoefu na ujuzi juu ya masuala yanayohusu vijana. Katika kikao tarehe hicho cha tarehe 21/7/2012 vijana walitoa mapendekezo juu ya namna ambavyo changamoto na zinazokabili vituo zinavyodhoofisha utendaji wa kila siku wa vituo vya vijana. 1. Ukosefu wa uelewa kwa viongozi waliochaguliwa ngazi ya kata juu ya stadi za uongozi na kuhusu mwelekeo wa utendaji kazi wa mtandao wenyewe.Jambo hili limeonekana kudhoofisha kata zote. 2.Ukosefu wa ofisi kwa vijana ngazi ya kata hali inayowafanya kukaa kwenye baa na ofisi za CCM jambo linalowanyima fulsa ya ushiriki vijana wa vyama vingine.Mfano kat ya Buza 3.Viongozi wa juu wa mtandao kuto tembelea vituo imeonekana pia kuwa moja ya changamoto hizo. 4.Vituo vya kata kutokuwa na tija kwa vijana kwa kuwa kila wanapokuja hakuna kitu kinachoshikika. Mapendekezo juu ya nini kifanyike.
Programu ambazo zinatarajiwa kufanyiwa kazi kwa kipindi kijacho. Uendeshaji wa mafunzo kwa vijana hasa katika maeneo ambayo wameyapendekeza lakini pia kwe ye eneo zima la utendaji na uboreshaji wa kituo cha vijana ngazi ya kata. Utoaji wa taarifa za kazi kwa kila mwezi ili kusaidia kubuni mipango na miradi ya TEYODEN kwa kipindi kijacho. Vijana wawakilishi wa vijana kutoka kata za Manispaa ya Temeke wakiwa katika mjadala wa pamoja katika ofisi za TEYODEN. Vijana wakifuatilia kwa makini maelezo ya mratibu wa mdahalo wakati wa kikao cha vijana cha kituo cha vijana ofisi ya makao makuu ya TEYODEN. |
YOUTH (YOUTH debate) make recommendations to IMPROVE NETWORK OF YOUTH ACTIVITIES OF MUNICIPALITIES OF TEMEKE. Young people from the county average of 10 met at a youth meeting in the office of the Youth Network of Temeke municipality to discuss how negotiations develop youth activities which are held every month to two young people to share experiences and knowledge on issues pertaining to youth. In the session on the date 07/21/2012 youths made recommendations on how challenges and facing the centers zinavyodhoofisha daily performance of the youth centers. A. Lack of understanding by elected officials on the county level leadership skills and about the direction of operation of this network occurs wenyewe.Jambo undermine all wards. 2.Ukosefu young officer in the county state-level works to stay on the bars and offices of the CCM is linalowanyima fulsa the participation of youth organizations of Mabuza vingine.Mfano kat 3.Viongozi of inactivity on the network also visit centers proved to be one of those challenges. 4.Vituo being and productivity of the county for young people to become all they come to nothing kinachoshikika. Recommendations on what should be done.
Programs that are expected to be applicable in the future. In training young people, especially in areas that have no Kwe yapendekeza but also the whole area of performance and improvement of the youth center of the county level. Provision of information to each month to help develop programs and projects in the future TEYODEN. Youth representatives of youth from counties to municipalities of Temeke were in discussion with offices in TEYODEN. Youth and following carefully the details of the coordinator of the debate during the session of youth youth center headquarters office TEYODEN. |
Translation History
|