Base (Swahili) | English |
---|---|
Mtoto Hassan Adam mwenye umri wa miaka 12 mkazi wa mtaa wa Itenzi. Nyumba namba IT/MW/669 kata ya Gombe jijini Mbeya amekuwa akinyanyaswa na kuchapwa mara kwamara na mama yake Bi Ashura Hassan na Baba yake Bwana Adam Jemedari na kumpelekea kupata majeraha kutokana na kushindwa kwenda Madrasa na kunyimwa chakula zaidi ya siku mbili na akiwa analala chini bila godoro na shuka chakavu
Na hivyo kusababisha mtoto huyo kutoenda shule kwa zaidi ya siku za 7 kutokana na majeraha makali yaliyompelekea kushindwa kukaa. Ukatili huu dhidi ya watoto na haki za binadaamu.Kutokana na tukio hili mama yake mzazi ameamua kukimbilia mkoani Morogoro, eneo la Mang'ula
Mwenyekiti wa mtaa huo Januari Robert ameahidi kushughulikia suala hilo.
Samahani kwa usumbufu utakaojitokeza katika kuona picha mtandao umetatiza picha imeshindwa kuonekana kwenye ukurasa. |
Baby Hassan Adam 12-year-old local resident of Itenzi. House number IT/MW/669 county of Gombe in Mbeya had been abused and was whipped by his mother Ms. Amara Ashura Hassan and his father Lord Gen. Adam and send him to get injured due to failure to Madrasa and deprived of food over two days as she lay down without mattress and sheets scrap
And so the resulting child can be with the school for more than seven days due to severe injuries yaliyompelekea not stay. This violence against children and the rights of the incident binadaamu.Kutokana and his mother a parent has decided to rush in Morogoro, area Mang'ula
Chairman of the local time in January Robert has promised to address the issue.
Sorry for the inconvenience you will see pictures kaojitokeza network has failed to complicate the picture appear on the page. |
Translation History
|