Fungua

/NURU/history: Kiswahili: WIED3Am1QGFAWIkcP48WcFc6:content

« Iliyotangulia   ·   Ifuatayo »
Asili (Kiswahili) Kiswahili

tumeanza mwaka 2009 kama vijana wa jinsia zote bukoba mjini tukiamasisha kufanya kazi kwa bidii na upendo mpaka sasa tuna shamba la miti eka 10 mashamba 2 ya mboga za majani bukoba vijijini na kushawishi vikundi takirbani kumi kufanya kazi kwa bidii na kujisajili kwenye alimashauli zake

(Bila tafsiri)

Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe