About
Explore
Search
Volunteer
Updates
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Log in
/OLAI/post/20564
: English
Base
English
Tatizo la migogoro ya Ardhi ni swala ambalo hujitokeza karibu kila kona hapa Tanzania. Ombi langu kwa wananchi, viongozi wa nyanja mbalimbali ikiwa pamoja na serikali, asasi za kiraia, serikali na watu binafsi, na wadau wa sekta ya Ardhi na dini, tushirikiane pamoja kusimamia matumizi bora ya Ardhi, kwa lengo la kupunguza migogoro inayochelewesha shughuli za maendeleo kwa ustawi wa jamii. Ninaomba tuwe pamoja.
(Not translated)
Edit
(image) – Hii ni Nembo ya Organization for Land and Agriculture Improvement (OLAI)
(Not translated)
Edit