SHUGHULI ZIFANYWAZO NA LINGONET ZINAZO WIANA NA MPANGO KAZI WA TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA –TANZANIA – UTANGULIZI – Mtandao wa AZAKi wilaya ya LINDI LINGONET ni asasi iliyoanzishwa mwaka 2002 na kusajiliwa rasmi mwaka 2003,ikiwa na wanachama waanzilishi 13,LINGONET mpaka kufikai mwaka 2014 inawachama 25 ingawa inahudumia asasi zipatazo 60 zilizopo katika wilaya ya LINDI baadhi yao si wanachama wa Mtandao kwa vile... | (Bila tafsiri) | Hariri |