Shirika linafanya kazi katika maeneo makuu wawili, afya na mazingira kwa sasa. Shirika limejikita katika kutokomeza ugonjwa wa malaria pamoja na vita kuu ya VVU/UKIMWI. Katika kufanikisha hili tumejizatiti katika Kata 28 kati ya 30 za Halmashauri ya Wilaya ya Lindi yenye jumla ya wakazi 214,882. Katika kila Kata 28 hizo tunao waelimishaji na wakusanyaji takwimu {CCA'S}. Katika mradi wa malaria tunafanya kazi na PSI, Christian Social Services. Katika VVU/UKIMWI bado... | The organization works in two main areas, health and the environment now. Organisation been devoted to the elimination of malaria and war on HIV / AIDS. In achieving this we are committed in Ward 28 of the 30 in the Lindi District Council with a population of 214,882. In every ward we have these 28 educators and data collectors} {CCA'S. In the malaria project we are working with PSI, Christian Social Services. In HIV / AIDS, we still work with all institutions and... | Edit |