Log in

/jeanmedia/topic/23528: English: dM000D710818DF2000024066:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

@NABROHO SOCIETY FOR THE AGED (MAGU,MWANZA,TANZANIA): 

Wazee ni vijana wa zamani ambao walitumikia taifa hili katika nyanja mbalimbali za uzalishaji mali au katika kutoa huduma kwa jamii. Bila wao taifa hili lisingefika hapa lilipo leo na bila mchango wao tusingeweza kuwa na jeuri tuliyonayo leo au maendeleo tuliyofikia leo. Hivyo basi ni jukumu la vijana wa leo katika taifa hili kulinda mafanikio haya yaliyopatikana kutokana na wazee ambao ni vijana wa zamani. Ni haki kabisa kwamba wazee wanapaswa kulipwa bila kujali kama walikuwa waajiriwa wa serikali ama la. Nchi hii ina idadi ndogo sana ya watu walio katika ajira ya serikali au mashirika ya umma, lakini bado asilimia kubwa zaidi ya wazee wanalitoa mchango mkubwa katika taifa kwa kufanya shughuli zao binafsi, au katika kujiajiri wao wenyewe. Mchango huu usisahauliwe ama kutupwa eti kwa kuwa hawa watu ni wazee sasa. Wananastahili malipo kama shukurani kwa yale waliyoyafanya na ili kuwawezesha kuendelea na maisha yao na shughuli zao kabla Mwenyezi Mungu hajawachukua.

@ NABROHO SOCIETY FOR THE Aged (Magu, Mwanza, Tanzania):

Elders are former youth who serve this nation in various fields of production or in providing services to the community. Without them this nation lisingefika here that exists today and without their contribution we would not have the violence we have today or the progress we yofikia today. Thus, it is the responsibility of the youth of today in this nation to protect these achievements and gains from older teens who are old. It is absolutely right that the elderly should be paid regardless of whether they were government employees or not. This country has a very small number of people employed in government or public agencies, but still higher percentage of older people They made a great contribution in the nation by doing their personal activities, or in their own self-employment. This contribution sahauliwe not simply to be thrown either these people are elderly now. Wananastahili payment as thanks for what they are doing and to enable them to continue with their lives and their activities before the Almighty God has taken.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
June 8, 2011
@ NABROHO SOCIETY FOR THE Aged (Magu, Mwanza, Tanzania): – Elders are former youth who serve this nation in various fields of production or in providing services to the community. Without them this nation lisingefika here that exists today and without their contribution we would not have the violence we have today or the progress we yofikia today. Thus, it is the responsibility of the youth of today in this nation to protect these achievements and...