Envaya

/TEYODEN/news: English: WI00078024B1C90000079188:content

Base (Swahili) English

Vijana TEYODEN washiriki maadhimisho ya Climate Change Don Bosco,Upanga Dar-es-salaa.

Vijana 20 TEYODEN ( wanaume 10 na wasichana 10) washiriki katika Maadhimisho ya climate change Tanzania yaliyofanyika katika viwanja vya

Don Bosco Upanga   tarehe 8/11/2011

Lengo la mkutano wa Mabadiliko ya hali ya mazingira

  • Kuwaaga vijana wa kitanzania ambao wataambatana na vijana wenzao kutoka nchi 13 duniani kote na nchi zitakazo wakilishwa ni ;-Tanzania, Bangladesh,Botswana,Kenya, Uganda, Kongo drc, Zambia,South Africa,Norway, England, Nigeria, Senegar na Malawi.
  • Kukusanya matamko ya vijana wa kitanzania na yale yajumuiya ya dini ya kikristo pamoja na baraza kuu la waislam tanzania BAKWATA.
  • Kutiwa saini matamko au makubaliano hayo na makamu wa rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Mohamed Gharib Bilal ambaye pia ndiye aliyekuwa mgeni rasmi katika shughuli hizo.
  • Kuwatambulisha vijana wengine walio katika safari inayojukana kama Road to Durban watakaohudhulia mkutano mkuu wa climate change utakao fanyika Durban nchinia africa ya kusini .

Katika hotuba yake mgeni rasmi makamu wa raisi Dr Bilal alisema “ Wanadamu tumechafua nyumba zetu sisi wenyewe, hivyo basi nasisitiza kwamba kama tunataka mabadiliko ya kweli ni lazima tuanze kwa kusafisha nyumba zetu tulizo zichafua ndipo tusafishe mazingira yetu.”

Mkutano huu au maazimio uliudhuriwa na vikundi mbalimbali vya burudani navyo ni kikundi mcha sanaa za monesho ya jukwaani na televisheni cha FATAKI kikundi cha vijana wa kusheki mwanamuziki kutoka kenya anayejulikana kama Juliani ambao ni mmoja wa vijana walio katika safari ya road to Durban mwanamuziki wa Tanzania anayeimba mziki wake katika maadhi ya bongo flavour Mwasiti kikundi cha muziki kinacho julikana kama 10 Norway nacho pia kipo katika road to durban na kundi la ngoma ama muziki wa asili kutoka Botswana nao pia wapo katika Road to Durban

 

Youth participants TEYODEN celebrations Climate Change Don Bosco, Sword Dar-es-Prayer.

Youth TEYODEN 20 (10 men and 10 girls) participants in celebration of climate change held in the grounds of the Tanzania

Don Bosco Sword on 11/08/2011

The purpose of the meeting of environmental conditions change

  • Leaving young Tanzanian who will accompany the young fellow from 13 countries around the world and country that will charge it;-Bengal, Bangladesh, Botswana, Kenya, Uganda, Congo DRC, Zambia, South Africa, Norway, England, Nigeria, Senegar and Malawi.
  • Collecting statements and the Tanzanian youth yajumuiya of the Christian religion with central council of Muslims tanzania BAKWATA.
  • The signing of these agreements and declarations, or vice-president of the United Republic of Tanzania Dk.Mohamed Gharib Bilal, who also was the guest of honor in such activities.
  • Introducing other youth who are in the safari inayojukana as Road to Durban will hudhulia head of climate change conference will be held in Durban south africa nchinia.

In his speech, the guest vice president Dr Bilal said: "Humans have upset our own house, so nasisitiza that if we want real change we must begin to clean our house that we zichafua then clean our environment."

This meeting or resolutions were affected by a diverse group of entertainment that is a group art exhibition of stage and TV fireworks group of young ruler musician from Kenya who is known as Juliani who is one of the young men who journey into the road to Durban musician of Tanzania who is singing His music in the brain maadhi Flavour Mwasiti whatever musical group known as 10 in Norway and it is also road to Durban with a group of dance or music originated from Botswana are also in Road to Durban


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
November 25, 2011
Youth participants TEYODEN celebrations Climate Change Don Bosco, Sword Dar-es-Prayer. – Youth TEYODEN 20 (10 men and 10 girls) participants in celebration of climate change held in the grounds of the Tanzania – Don Bosco Sword on 11/08/2011 – The purpose of the meeting of environmental conditions change – Leaving young Tanzanian who will accompany the young fellow from 13 countries around...