Mtweve: Kujitolea damu hakuna madhara. – Na ASIA KILAMBWANDA, Mtwara Community media – Meneja wa mpango wa uchangiaji damu salama kanda ya kusini, Mtweve Vincent amesema kuwa hakuna madhara yeyote yanoyoweza kutokea endapo mtu atachangia au kutoa damu kwa njia iliyo salama. – Mtweve amesema hayo wakati akiongea na mwandishi wa habari hii ofisini kwake juu ya tathmini ya mwamko wa jamii katika uchangiaji wa damu kwa hiari... | Mtweve: Giving blood is no harm. – And Asia KILAMBWANDA, Mtwara Community Media – Manager of safe blood program of cost sharing of the southern region, Mtweve Vincent has said that no harm yanoyoweza occur if any person shall contribute or to give blood for a safe way. – Mtweve He said this while talking to the author of this information in his office on the assessment of awareness of the community in cost... | Edit |