Injira

/jeanmedia/news: Kinyarwanda

BaseKinyarwanda
Mtweve: Kujitolea damu hakuna madhara. – Na ASIA KILAMBWANDA, Mtwara Community media – Meneja wa mpango wa uchangiaji damu salama kanda ya kusini, Mtweve Vincent amesema kuwa hakuna madhara yeyote yanoyoweza kutokea endapo mtu atachangia au kutoa damu kwa njia iliyo salama. – Mtweve amesema hayo wakati akiongea na mwandishi wa habari hii ofisini kwake juu ya tathmini ya mwamko wa jamii katika uchangiaji wa damu kwa hiari...(Not translated)Hindura
(image) – Meneja wa damu salama kanda ya kusini kushoto akiwa na mdau wa damu salama wakionesha fulana lenye ujumbe wa kuhamasisha uchangiaji wa damu.(Not translated)Hindura
(image) – Shule ya Sekondari nanyamba iliyopo kata ya nanyamba wilaya ya Mtwara vijijini(Not translated)Hindura
(image)(Not translated)Hindura
(image) – Damu salama ikichambuliwa kwa ajili ya kusambazwa katika hospitali za mkoa wa Mtwara na Lindi(Kanda ya kusini)(Not translated)Hindura
(image) – Kijiji cha nanyamba kilicho karibu na kata ya nanyamba Halmashauri ya Mtwara Vijijini(Not translated)Hindura
(image) – Nembo ya damu salama kwa kiswahili(Not translated)Hindura
(image) – Maabara ya kuhifadhia damu salama/Damu salama ikiwa tayari kusambazwa mahospitalini.(Not translated)Hindura
(image) – Meneja wa Mpango wa uhamasishaji uchangiaji damu Salama kanda ya kusini, Mtweve Vincent.(Not translated)Hindura
(image) – Maeneo ya shule zilizopo mkoani Mtwara(Not translated)Hindura