Base (Swahili) |
English |

Viongozi na wanachama wa jumuiya ya MEECO wakiwa katika ziara yao ya kuhamasisha jamii kuhusu utunzaji na uhifadhi wa mazingira ya mikoko katika kijiji cha Unguja Ukuu Mkoa wa Kusini Unguja. Kuanzia kulia ni Abdallah Saleh Fatawi (Naibu Katibu)Hija Ramadhan Choko ( Mkuu wa Kamati ya Mapambo)
|

Leaders and members of the community of MEECO in their tour to sensitize communities on environmental preservation and conservation of mangroves in the village of Unguja South Region Unguja greatness. Starting right Fatawi Abdallah Saleh (Deputy Secretary) Ramadhan Hajj oven (General Committee of Decorative)
|