Base (Swahili) |
English |
Vijana wengi hudanganywa kwamba eti wasipofanya mapenzi katika ujana waowatashindwa kuzaa, wengine wanapotoshwa kwamab kutokufanya mapenzi kunaleta chunusi, kufanya mapenzi kunasaidia kukomaza viungo vya uzazi pia vijana wanapotoshwa kwamba wasipofanya mapenzi viungo vyao vitaziba jambo ambalo kitaalamu siyo sahihi. hali kadhalika vijana wanapotoshwa kwamba lazima wafanye mapenzi na wachumba wa kabla ya ndoa ili kuwajua vizuri.siyo siri vijana wamedanganyiak padogo kwani wanadanganywa na mambo madogo hebu fikilia kijana anyeyreambiwa eti usipofanya ngono uume utapunguaz na kuwa mdogo
|
Many young people are deceived that they do not simply have sex in adolescence waowatashindwa sterile, others are misled kwamab abstinence brings pimples, sexual reproductive organs helps demoralize the youth also are misled that their organs will not be doing something that professional vitaziba wrong. likewise misled that young people should do sex with couples before marriage to know the young people have danganyiak vizuri.siyo little secret as they are deceived by the little things let the boy come anyeyreambiwa simply do not have sex penis will punguaz to be limited
|