Envaya

/teyoden/news: English: WI0009AFA5E55A2000001786:content

Base (Swahili) English
Kamati ya Utendaji TEYODEN yajipanga kutekeleza mradi wa Utetezi wa Mabinti wanaofanya kazi kwenye baa

Katika ile hali ya kuwajali wasichana wanaofanya kazi kwenye baa mbalimbali hapa jijini Dar Es Salaam,TEYODEN imeonelea ni vema ikajitahidi kuwatafutia suluhu ya maonevu wanayofanyiwa na wamiliki wa baa.

Katika kikao cha kamati ya utendaji kilichofanyika jumamosi ya tarehe 12 Juni 2010 katika ofisi za TEYODEN,kikihudhuriwa na mwakilishi kutoka Taasisi ya Maendeleo Shirikishi kwa vijana Arusha ( TAMASHA) yenye makao yake makuu katika jiji la Arusha,kaka Churchill Winston ambao ndio watakaokuwa wafadhili wa mradi huo na TEYODEN wakiwa ni wataalamu watafanya utafiti katika kata nne za manispaa ya Temeke ambazo ni Kurasini,Azimio, Keko na Mbagala katka baa zote zilizopo katika katika kata hizo ili kbaini ni changamoto zipi wanazokabiliana nazo mabinti hawa na jinsi ya kuzitatua wakiwashirikisha wamiliki wa baa hizo,wadau wa maendeleo katika manispaa ya Temeke na vijana mbalimbali.

Kabla ya kuingia katika mchakato huu kwanza yatakuwepo mafunzo ya namna ya kufanya utafiti huo.Mradi huo utakuwa ni wa mwaka mmoja.Kinachosubiriwa kwa sasa ni kibali kutoka wizara ya Sayansi naTeknolojia ambacho huenda kinatarajiwa kupatikana ndani ya mwezi huu.

TEYODEN itaendelea kushirikiana na mashirika mengine ikiwa ni katika kuimarisha mahusiano yake na asasi nyingine ndani na nje ya nchi.
Executive Committee TEYODEN yajipanga implement a project of Advocacy of the daughters who work in bars,,,, In the state of care for girls who work in bars range here in Dar Es Salaam, TEYODEN imeonelea is well ikajitahidi find a solution of victimization are yofanyiwa and owners of bars .

The executive committee session happened on Saturday the 12 June 2010 in the offices TEYODEN, kikihudhuriwa and a representative from the Institute for Youth Participatory Development in Arusha (Entertainment) based in the city of Arusha, which Winston Churchill Brothers shall be sponsors of the project and TEYODEN they are experts will do research in cutting the four municipalities of Temeke which is Kurasini Declaration, Keko and Mbagala katka bars all available in the ward are to kbaini are challenging what they zokabiliana are the daughters of these and how kuzitatua They associate these bar owners, municipal stakeholders in development of various youth Temeke .

Before entering into this process first yatakuwepo training on how to do research is o.Mradi time of year that is now a permit mmoja.Kinachosubiriwa from the Ministry of Science naTeknolojia which may be found in the moon is expected this .

TEYODEN will continue to cooperate with other organizations if it is strengthening its relationships with other institutions within and outside the country.

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
July 13, 2010
Executive Committee TEYODEN yajipanga implement a project of Advocacy of the daughters who work in bars,,,, In the state of care for girls who work in bars range here in Dar Es Salaam, TEYODEN imeonelea is well ikajitahidi find a solution of victimization are yofanyiwa and owners of bars . – The executive committee session happened on Saturday the 12 June 2010 in the offices TEYODEN, kikihudhuriwa and a representative from the Institute for Youth Participatory Development in Arusha...