Base (Swahili) | English |
---|---|
ELIMU YA STASDI ZA MAISHA. Mimba za utotoni na utumiaji wa dawa za kulevya nchini Tanzania limekuwa ni tatizo linalokuwa siku hadi siku.Takwimu zinaonesha kuwa watoto wenye umri kuanzia miaka 9-25,ndio wanaoathirika kwa kiwango kikubwa na tatizo hili. Mwaka 2008 katika shule ya msingi Ilagala mkoani Kigoma binti wa miaka tisa alionekana kuwa na ujauzito ,hali ambayo ilihatarisha maisha yake na kiumbe kilichokuwa tumboni.Mwaka 2006 wanafunzi 64 wa kike walioanza shule ya sekondari katika shule ya sekondari Ilagala,ni wanafunzi 4 tu waliobahatika kuhitimu kidato cha nne.Hapo unaweza kuona namna tatizo hili lilivyo kubwa. Asasi za kiraia na wadau wengine wa afya wanalojukumu la kutoa elimu kwa vijana wa shule za msingi,sekondari na wale walioko mitaani kwa lengo la kuwajengea stadi za kujitambua,kujiamini,kujithamini,na kuwajengea uwezo wa kukabiliana na changamoto zinazowakabili katika makuzi yao. Katika makuzi ya vijana,wamejikuta wakikabiliwa na shinikizo rika,hali ambayo imewaingiza baadhi yao katika matatizo.Miongoni mwa matatizo ambayo yanawakabili vijana kutokana na shinikizo rika ni pamoja na mimba za utotoni,utumiaji wa dawa za kulevya,ushoga,uchokoraa,na utumikishwaji katika biashara ya ngono. Somo la stadi za maisha limeonesha uwezo mkubwa wa kuwasaidia vijana wengi kukabiliana na changamoto zinazowakabili.Vijana wengi ambao walishaanza kutumia dawa za kulenvya na kujiingiza katika vitendo vya ngono katika umri mdogo,walijiondoa baada ya kupatiwa elimu ya stadi za maisha. Kwa wale ambao walikuwa hawajanza vitendo hivyo,baada ya kupatiwa elimu hiyo wamekuwa ni waelimishaji wazuri kwa wenzao,hali ambayo imesaidia kukuza uelewa wao kuhusiana na afya ya miili yao.Stadi za maisha ni mbinu au njia anazo tumia mtu katika kukabiliana na mazingira yanayomzunguka hatimaye abaki salama kimwili,kiroho na kiakili. Kwa kawaida stadi za maisha husaidia vijana kujiamini,kujithamini,kujiheshimu,kujitambua na kuwajenga uwezo wa kupambanua jambo baya na zuri na kufanya maamuzi sahihi pindi wanapokabiliwa na changamoto mbalimbali. Katika stadi za maisha tunawafundisha vijana kutatua matatizo kwa kutumia T3.Hii ina maana kuwa T1-----------tatizo T2-----------tatuzi T3----------tokeo Katika kupata tokeo la tatizo,kuna uwezekano tokeo likawa chanya au hasi.Kwa kutumia T3 kijana anaweza kutatua matatizo kimantiki zaidi,tofauti na ambaye hana elimu ya stadi hiyo,ambapo wengi wakabiliwapo na matatizo magumu hufikia hatua ya kujiua kwa kuamini kuwa matatizo kama hayo hayana utatuzi,hususani baada ya kufukuzwa nyumbani au kukataliwa na wenzi wao. Mada zifuatazo huwasaidia vijana kujitambua vizuri sana katika makuzi yao.
Vijana hupata habari nyingi ambazo nyingine ni potofu kwao.Kutokana na hilo ni vema wakapewa habari sahihi zinazohusu miili ya na makuzi yao.Mfano vijana wengi wa kike na wa kiume wanapata taarifa kuwa wasipofanya ngono mapema watapata matatizo wakiwa wakubwa,habari ambazo kwa hakika si sahihi na zinapotosha. Vilevile vijana hupenda kujaribu baadhi ya mambo ili kuona matokeo ama wanayo yasikia au kuona nini kitatokeo ya kufanya jambo fulani.Kutokana na hali hiyo wazazi,walezi,asasi za kiraia,azaki,na wadau wengine wanalojukumu la kutoa elimu kwao ili kuwaepusha na majaribio ambayo mwisho wake ni matatizo kwao. Jeanmedia imeliona hili na itashiriki kikamilifu kuhakikisha kuwa inawaandaa vijana bora kwa ajili ya kuwa viongozi mahiri wa kesho.Kwa kutambua ukubwa na ugumu wa tatizo hili,jeanmedia inawaomba wadau wote kuunga mkono juhudi hizi kwa kuiwezesha kwa hali na mali ili iweze kuwafikia vijana wengi wa mjini na vijijini. Nguvu kazi ya taifa lolote duniani ni vijana,hivyo wasipoandaliwa vizuri leo,kesho watakuwa bomu ambalo litakapolipuka litaangamiza taifa lote.Waafrika wanayo methali isemayo “mtoto umleavyo ndivyo akuavyo”,hivyo kama tunahitaji kuwa na kizazi bora chenye maadili,uzalendo na uwajibikaji tuanze kuwaandaa vijana sasa kisaikolojia,kimaadili,kifikra na kimtazamo.
ANTON MWITA KITERERI |
STASDI EDUCATION OF LIFE. Teenage pregnancy and drug use in Tanzania has been a problem until the day I linalokuwa .Takwimu suggest that children aged from 9-25 years, who are significantly affected by this problem. In 2008 the primary school Ilagala Kigoma daughter of nine years was found to be pregnant, which ilihatarisha his life and being was tumboni.Mwaka 2006 students 64 girls who started school in high school Ilagala, students only 4 were fortunate to qualify Form nne.Hapo you can see how big this problem does. Civil society and other stakeholders in health lojukumu of providing education for young people in primary schools, secondary schools and those in the streets for the purpose of building the skills of self-awareness, confidence, self esteem, and build their capacity to cope with challenges in the treatment of them. In the development of young people, have found themselves faced with peer pressure, which in matatizo.Miongoni imewaingiza some of the problems that young yanawakabili is due to peer pressure and teenage pregnancy, drug use, homosexuality, uchokoraa, and labor in the business of sex. Lesson for life skills demonstrated potential to help young people cope with the challenges many zinazowakabili.Vijana who kulenvya started using drugs and engaging in sexual acts at an early age, they withdrew after received life skills education. For those who had not started practice, having received education, have become an educator to make a good fellow, which has helped to develop their knowledge related to health bodies yao.Stadi of life is a technique or method has used the person in response to environmental yanayomzunguka finally remain safe physically, spiritually and mentally. In general life skills helps young people confidence, self esteem, self-esteem, self-awareness and build up the ability to discern good and something bad and make the right decisions when they are faced with different challenges. In the life skills we teach young people to solve problems by using T3.Hii means that ----------- T1 problem T2 ----------- solving ---------- T3 results are In getting the result of a problem, it is likely the result became positive or si.Kwa using T3 teenager can solve problems logically more, different and who has no skills education, where many were biliwapo and difficult problems reach the point of suicide, believing that such problems are resolution, especially after the expulsion of the house or rejected by their partners. The following topics will help young people identify very well in their development.
Young people get a lot of information that others are wrong kwao.Kutokana and it is well and given accurate information about the bodies of the growth yao.Mfano many young girls and boys are getting reports that they do not have sex early will have problems with bosses, information that is certainly not appropriate and zinapotosha. Similarly young people like to try some things to see results or what they heard or saw kitatokeo to do something with it fulani.Kutokana parents, guardians, civil society, NGOs and other stakeholders to provide education lojukumu them to kuwaepusha experiments which end are problems for them. Jeanmedia imeliona itashiriki this fully to ensure that only prepares students for outstanding young leaders of kesho.Kwa vibrant identify the size and complexity of this problem, jeanmedia I ask all stakeholders to support these efforts to enable the state and property in order to reach young people in the city and rural areas. Labourers of any nation on earth is young, so unless they prepared well today, tomorrow will be the bomb that litakapolipuka litaangamiza nation lote.Waafrika have a proverb that says "baby umleavyo so akuavyo", so if we need a generation better with the values, patriotism and responsibility we should start to prepare young now psychologically, morally, emotionally and mindset. ANTON ITA KITERERI |
Translation History
|