Envaya

/MAUJATA/topic/123409: Kiswahili

AsiliKiswahili
kuna sababu moja mimi naiona kuba sana.USIRI wa ukimwi unaowekwa na muusika wa umimwi na nchi mana ikumbukwe kwamba siku za hivi karibuni vijana wengi wamekuwa wakijiua mara tu wanapojua ni waasirika lakini swali linakuja kwanini wanaamua kujiua?Mimi nasema ni kwasababu ya mazingira magumu ya usiri yanayowekwa yaliyomfanya yeye kwanza kuupata ukimwi.Hakutegemea mpenzi wake ni muasirika ndio mana akalala nae hali iliyompa naye ukimwi.Je,ni haki kuendelea kufanya ukimwi...(Bila tafsiri)Hariri
Kwa nini maambukizi ya VVU/UKIMWI kwa nchi zilizo kusini mwa jangwa la Sahara yanazidi kuongezeka kila kuchapo ingawa kuna juhudi kedekede zinazofanywa na serikali pamoja na mashirika yasiyo ya kiserikali?(Bila tafsiri)Hariri
Maambukizi ya VVU/UKIMWI yanazidi kuongezeka kila kuchapo kwa sababu:- 1: Umaskini. 2: Elimu ya namna ya kuzuia na kujikinga haijawakolea wadau. 3: Mila na desturi potofu zinachangia kwa kiasi fulani mfano ukeketaji, kurithi wake nk. 4: Uwepo wa mazingira hatarishi yanayoamsha na kuchochea ari ya kufanya mapenzi, mfano kumbi za starehe, migodi nk.(Bila tafsiri)Hariri
ONGEZEKO LA MAAMBUKIZI YA VVU/UKIMWI(Bila tafsiri)Hariri
AM(Bila tafsiri)Hariri
{date} at {time}{date} {time}Hariri
JanuaryJanuariHariri
MarchMachiHariri
PM(Bila tafsiri)Hariri
[hour12]:{minute} [ampm][hour]:{minute}Hariri
{time} {tz}(Bila tafsiri)Hariri
{month} {day}, {year}{day} {month}, {year}Hariri
Add New MessageOngeza Ujumbe MpyaHariri
Back to all topicsRudi kwenye mada zoteHariri
Invite people to participateKaribisha watu kushirikiHariri