Envaya

/AUG/news: English

BaseEnglish
(image) – Hili ni Bwawa la samaki ambapo ndani mwake wapo samaki wapatao zaidi ya elfu nne hadi kumi(image) – This is a pool of fish where the fish are about his more than four thousand to tenEdit
(image) – mmoja wa wataalamu akiwa pembezoni mwa bwawa la Samaki(image) – one of the experts around the pool at the FishEdit
(image) – Sio tu Ngombe lakini mkulima huyu Bwana Kibona anajishughulisha sana na ufungaji mbalimbali ikiwemo mifugo hii ya Nguruwe.Nguruwe ni kitoweo kizuri sana na pia ni biashara nzuri sana kwa mtanzania.(image) – Not only cattle but this farmer is concerned about the Lord why very different installation including animals Nguruwe.Nguruwe this is very good stew is also good business for a Tanzanian.Edit
(image) – Bwana Lishela mtaalamu wa Samaki kutoka Mbegani akiwa tayari kupima maji kwa kuonyesha mfano kwa wanafunzi waliohudhuria mafunzo hivi karibuni hapa anajiandaa kupima kijani katika Maji tayari kutoa elimu katika shamba darasa la mmoja wa wanafunzi waliohudhuria mafunzo ya samaki mwaka mmoja uliopita.(image) – Lord Lishela specializes in fish from the shoulder being ready to test the waters by showing an example for students who have attended training recently here is preparing to test green in the water ready to provide education in the field grade one students who attended a course of fish a year ago.Edit
(image) – Ndugu Kibona Akiwa na Wataalamu wa Samaki nyumbani kwake Wazo(image) – Why Brother Fish Experts At his home ideaEdit
(image) – Mifugo ni mojawapo wa mihimili mikubwa hapa kwetu Tanzania kama itatumiwa vizuri kwa chakula na biashara.Ndama huyu amezaliwa muda sio mrefu katika mikulima huyu wa maeneo ya Tegeta Dar es salaam Bwana KIbona.(image) – Livestock is one of the major pillars here with us Tanzania as well will be used for food and this is born biashara.Ndama time not long in this farmer's areas of Dar es Salaam Tegeta Why Lord.Edit
(image) – Lakini mfugaji huyu ambaye ni Tunda la Africa Upendo Group bado anajishughulisha sana na ufugaji wa aina mbalimbali ikiwemo Samaki.Hili ni moja ya mabwawa yake ambayo yapo maeneo ya wazo na hapa Wataalamu kutoka Africa Upendo Group pamoja na Mbegani Fisheries wakiwa katika kupima maji ili kuona kama hewa inapatikana kwa wingi ili samaki wasife(image) – But this man who tends a fruit of love Africa Group is still interested in farming with various types including Samaki.Hili is one of his ponds which are parts of the idea and here experts from Africa with love and shoulders Fisheries Group working in water testing to see if air is available in abundance to fish and liveEdit
(image) – Samaki hawa wamekufa kwa kukosa hewa baada ya mfugaji kuzidisha kijani katika maji au mbolea na kusababisha maafa katika Bwawa.(image) – These fish had died by suffocation after multiplication tends a green in the water or fertilizer and cause a disaster in the pool.Edit
(image) – Mtaalamu wa samaki Ndugu Kissai akitoa maelezo maalum kwa Consoltant na Mkurugenzi wa Open Mind ambaye alitembelea Bwawa la ndugu Kibona kwa ushauri wa maswala mbalimbali na yeye akawa miongoni mwa mtu aliyejionea fahari ya mtanzania kwa kutumia nyezo rahisi katika kujipatia lishe na kipato.(image) – Professional fish Kissai Brother casting special details Consaltant and Director of Open Mind, who visited the dam, why brother for advice issues and he became one of man shall see the glory of Tanzanians using simple materials in nutrition have gotten income.
(This translation refers to an older version of the source text.)
Edit
(image)(Not translated)Edit