Envaya

/M-E-D-1-1/news: Kinyarwanda

BaseKinyarwanda
Mikakati(Not translated)Hindura
Je Wajua?(Not translated)Hindura
Picha za Matukio(Not translated)Hindura
Kutoka Mitaani(Not translated)Hindura
Wafadhili(Not translated)Hindura
Matukio Yajayo(Not translated)Hindura
Washirika(Not translated)Hindura
WASICHANA NA CHANGAMOTO KATIKA MABARAZA YA WANAFUNZI – Ikionekana kama ilishazoeleka ya kuwa viongozi wengi wanaopaswa kuongoza kundi au vikundi vya watu ni lazima awe mwanaume na hivvyo kuchangia kwa kiasi kikubwa kuendelea na ile dhana ya mfumo dume katika jamii zetu. ...(Not translated)Hindura
(image) – Huu ni muonekano wa mbele wa choo hicho.(Not translated)Hindura
MIAKA SABA SHULE HAINA MWALIMU WA HESABU – Wakati serikali ikiwa imeunda tume ya kuchunguza chanzo cha matokeo mabaya ya kidato cha nne kwa mwaka 2012, zipo sababu nyingi zinazoonyesha dalili za awali za majibu yatakayoletwa na tume hiyo mara baada ya kukamilika kwa uchunguzi wake. ...(Not translated)Hindura
WAKETI KWENYE UDONGO DARASANI KWA UHABA WA MADAWATI – Wanafunzi katika shule ya msingi Chalula iliyopo Mvumi Makulu Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma wanakabiliwa na uhaba wa madawati na kusababisha kuketi chini huku baadhi ya madarasa yakiwa hayana sakafu. – Hayo yalibainika hivi...(Not translated)Hindura
(image) – Kiranja Mkuu wa Shule ya Msingi Ndebwe Iliopo Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma,Rossemary Masaka. Haya ni moja ya mafanikio ya mradi wa HAKI ZANGU SAUTI YANGU,mradi ambao umeleta mapinduzi katika chaguzi mashuleni Wilayani Chamwino tofauti na zamani ambapo walimu ndio walikuwa wakiteuwa viongozi,jambo ambalo lilikuwa likiwanyima haki wanafunzi kuchagua viongozi wanaowataka. Hapa wanafunzi wa Shule ya Msingi Ndebwe walitumia Demokrasia kuchagua vingozi...(Not translated)Hindura
(image) – Hili ni jengo la choo cha Shule ya Msingi Ndebwe iliyopo Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma choo ambacho wanafunzi hukitumia wawapo shuleni hapo.(Not translated)Hindura
(image) – Katika utekelezaji wa kweli wa maendeleo ya Tanzania tunahitaji viongozi wachapakazi wenye moyo wa kutumikia wananchi na kukubali ushauri bila kujali nyadhfa zao. Bi.Fatma Said Ally ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Chamwino ni miongoni mwa viongozi ambao wanapongezwa na wananchi kutika juhudi zake za kuwa karibu na wananchi,taasisi pamoja na wadau katika Wilaya yake kwa lengo la kuwaletea maendeleo. MED inampongeza kiongozi huyu na kumtakia kila la kheri...(Not translated)Hindura
Kitaifa – Waliofeli kidato cha nne waula, ufaulu sasa waongezeka ...(Not translated)Hindura