
Wanafunzi kutoka shule za msingi za,Mvumi misheni,Mvumi co,ed,Nyerere,Ilolo,Ndebwe,Mvumi makulu,,Chalula na Muungano.
Wakifuatilia mafunzo juu ya chaguzi za Demokrasia na uundwaji wa mabaraza mashuleni,kutoka kwa maafisa wa shirika la Marafiki wa Elimu Dodoma hawako pichani,ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa HAKI ZANGU SAUTI YANGU unaoendeshwa na shirika hili katika shule 14 za msingi na 6 za sekondari zilizopo Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma,mradi ambao unafadhiliwa na OXFA GB.
|

Students from elementary schools, missions rumors, speculation co, ed, Nyerere, Ilolo, Ndebwe, rumors Makulu, Chalula the Union. Wakifuatilia training on democratic elections and the formation of councils in schools, from the officers of the organization Friends of Education Dodoma are not pictured, as part of the implementation of the project MY RIGHTS my voice driven organization in schools 14 primary and 6 of existing secondary Chamwino District Dodoma region, a project that is funded by OXFA GB.
|