Envaya

/M-E-D-1-1/post/107589: English: WIYL9vt85lhBo5bFkTpuqn4Y:content

Base (Swahili) English

 

MED YATOA SAADA WA VITABU.

Shirika la Marafiki wa Elimu Dodoma MED limetoa msaada wa vitabu vya kiada na kiongozi cha mwalimu vyenye thamani ya zaidi ya Sh. 397,363,300 kwa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino kwa lengo la kuboresha Elimu katika Wilaya hiyo. Mdsaada huo wa vitabu vya masomo ya kiingereza, Hisabati na Jiografia utawanufaisha walimu na wanafunzi wa shule 82 za Halmashauri ya Chamwino iliyoko Mkoani Dodoma.

Akitoa shukrani kwa niaba ya wanafunzi wa shule ya msingi ya Handali ambayo ni moja kati ya shule zilizonufaika na msaada huo wa vitatu mwalimu Grace Mtani alisema msaada huo umekuja atika wakati muafaka hasa ukizingatia kuwa utakuwa ni msaada mkubwa hasa kwa wanafunzi wa darasa la saba ambao wapo kwenye maandalizi ya mtihani wa taifa. Akionyesha kuwa nia yao ni kutaka kusaidia jamii inayowazunguka kwa wakati mratibu wa shirika hilo la marafiki wa elimu mkoani Dodoma Bw. Davis Makundi amesema msaada huu ni mwanzo tu katika halmashauri hiyo ya Chamwino,kwani wamejipanga vizuri kwa kushirikiana na wadau wengine katika kuboresha elimu ya wanaChamwino.

Mbali na msaada huo wa vitabu katika wilaya hiyo, MED imeweza pia kushuhudia matatizo mengi yanayowakabiri wanafunzi wengi katika wilaya hiyo hasa likiwemo tatizo la ukosefu wa madawati kitu ambacho kimeonekana kama kuwa  ni tatizo lililoanza kuzoeleka katika maeneo mengi katika wilaya hiyo, pia limejtokeza tatizo kubwa linalohatarisha afya za wanafunzi wengi katika shule nyingi katika wiaya ya chamwino ni ukosefu wa vyoo, vyumba vya madarasa, madawati, zana balimbali za lujifunzia na kufundishia pamoja na mafunzo ya walimu kazini.             

DISHES WITH BOOKS support.

Friends of Education Organization has provided support Dodoma MED textbooks and teacher's guide valued at more than Sh. 397,363,300 for DC Chamwino to improve education in the District. Mdsaada same textbooks English, mathematics and geography will benefit teachers and students of the school 82 of Council Chamwino ambient Dodoma region.

Giving thanks on behalf of the students of the primary school of Handali which is one of the school zilizonufaika grant of three teacher Grace Linen said support has come transplant time, especially considering that you will be a great help especially for students of seventh grade who are the preparation of the national exam. Showing that their intention is to help the local community at the organization's coordinator of friends of education, Mr. Dodoma region. Davis said this support groups are just beginning in this council Chamwino, as are better organized in collaboration with other stakeholders in education to improve the Chamwino.

In addition to the grant of the books in the district, MED has been too much trouble yanayowakabiri witnessed many students in the district, mainly including the problem of the lack of desks occasionally something like that   a problem which was habitual in many places in the district, also limejtokeza serious problem endangers the health of many students in many schools in wiaya the Chamwino a lack of toilets, classrooms, desks, various tools of lujifunzia the teaching and training of teachers to work .              


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
February 26, 2013
DISHES WITH BOOKS support. – Friends of Education Organization has provided support Dodoma MED textbooks and teacher's guide valued at more than Sh. 397,363,300 for DC Chamwino to improve education in the District. Mdsaada same textbooks English, mathematics and geography will benefit teachers and students of the school 82 of Council Chamwino ambient Dodoma region. ...
Google Translate
February 26, 2013
DISHES WITH BOOKS support. – Friends of Education Organization has provided support Dodoma MED textbooks and teacher's guide valued at more than Sh. 397,363,300 for DC Chamwino to improve education in the District. Mdsaada same textbooks English, mathematics and geography will benefit teachers and students of the school 82 of Council Chamwino ambient Dodoma region. ...