Log in

/M-E-D-1-1/post/8127: English: WI000ABEB7BF239000008127:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

Wenye Ulemavu Waomba Msaada wa Vifaa.

Watu wenye changamoto za ulemavu wamewaomba wanasiasa kuwasaidia kupata nyenzo mbalimbali kwa ajili ya shughuli zao za kila siku.

Wakiongea  kwa nyakati tofauti na MED wanachama wa Chama Cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) tawi la Dodoma wamesema; wanasiasa wana nafasi nzuri ya kutetea haki za walemavu kama kweli wakidhamiria kufanya hivyo.

Mwenyekiti wa CHAVITA tawi la Kondoa Bw. Mustafa Shabani amesema watu wenye ulemavu wana changamoto ningi za kimaendeleo zinazo sababishwa na ulemavu wao. Alisema kwamba wao kama watu wengne wanahitaji kupata taarifalakini hawazipati kwa usahihi kutokana na wao kukosa vifaa maalum vya kuongeza usikivu au wakalimani.

Naye Bw. Ally Jumanne ambaye ni katibu wa chama hicho alisema ni vema wanasiasa wakasaida kuishawishi serikali ijali haki na mahitaji ya wenye changamoto za ulemavu ili nao wanufaike na rasilimali za taifa kama wananchi wengine wasio na ulemavu.

Wadau hao wamesema kuwa vifaa vya kusaidia wenye ulemavu kama vile vifaa vya kusaidia kuongeza usikivu, kuona, fimbo maalum za wasioona na baiskeli za miguu mitatu pamoja na vifaa vingini ni ghali kiasi kwamba mtu mwenye ulemavu si rahisi kuvipata.

Walishauri serikali iwasaidie kupata wakalimani kwa ajili ya kutafsiri habari na matukio mbalimbali kupitia Televisheni na kuwasaidia wasioona kupata CD na tepu za sauti ambazo zitawasaidia kuwafikishia habari na taarifa mbalimbali kwa wakati.

Invoke Disability Support Equipment.

People with disabilities have challenged the call on politicians to help them find various materials for their daily activities.

Wakiongea WITH different times and members of the Tanzania Association of the Deaf (CHAVITA) branch of Dodoma have said, politicians have a good chance of defending the rights of disabled people as they really intend to do so.

Chairman Mr CHAVITA branch of Kondoa. Mustafa Shabani said people with disabilities have the bulk of the development challenges that are caused by their disability. He said that they like people need to get taarifalakini wengne can not get it correctly due to their lack of special equipment to increase sensitivity or interpreters.

And Mr. Ally Tuesday, who is secretary of the party said it well Saida convince politicians and the government regard the rights and needs of the challenges of disabilities so that they benefit the nation's resources as other citizens without disabilities.

Stakeholders have argued that these devices help people with disabilities as well as equipment to help increase attention, see, stick to special Braille and bicycles equipped with three legs Mangini is so expensive that a disabled person is not easy to find.

Walishauri government to help them get interpreters to translate information and events through television and help them get the Braille CD and audio tapes that would help reach a variety of information and reports on time.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
February 26, 2011
Invoke Disability Support Equipment. – People with disabilities have challenged the call on politicians to help them find various materials for their daily activities. – Wakiongea WITH different times and members of the Tanzania Association of the Deaf (CHAVITA) branch of Dodoma have said, politicians have a good chance of defending the rights of disabled people as they really intend to do so. – Chairman Mr CHAVITA branch of Kondoa. Mustafa...