wananchi wameambiwa waende mabwepande hawataki, mafuriko mengine yakija wasije wakaleta lawama za bure. uharibifu wote huu bado watu wanataka kukaa hapa wamezoea matatizo hawa watu au vipi mie siwaelewi. – MOPE rudini mkawaombe waende mabwepande bado mirango iko wazi ikishafungwa watafanyaje?. nawashukuru sana MOPE kwa kutuletea ujumbe huu | (Not translated) | Edit |