RIPORT KAMA HIZI NDO ZINATAKIWA MAANA ZINATOA UARISIA WA MAMBO YALIVYO. TUWASAIDIE TU UJAFA UJAUMBIKA KAKA
February 7, 2012
Hamisi (manzese) said:
wananchi wameambiwa waende mabwepande hawataki, mafuriko mengine yakija wasije wakaleta lawama za bure. uharibifu wote huu bado watu wanataka kukaa hapa wamezoea matatizo hawa watu au vipi mie siwaelewi.
MOPE rudini mkawaombe waende mabwepande bado mirango iko wazi ikishafungwa watafanyaje?. nawashukuru sana MOPE kwa kutuletea ujumbe huu
Comments (3)
ongera MOPE kwa kazi nzuri sikujua kama ali ni mbaya hivi
MOPE rudini mkawaombe waende mabwepande bado mirango iko wazi ikishafungwa watafanyaje?. nawashukuru sana MOPE kwa kutuletea ujumbe huu