Envaya

/TYNF/news: Kiswahili

AsiliKiswahili
Kulingana na ukubwa wa tatizo la watoto walio katika mazngira hatarishi serikali na wadau wengine wametakiwa kufuatilia kwa ukaribu kumbkumbu za watoto waliosajiliwa awali ili kujiridhisha na usahihi wa takwimu za awali na takwimu mpya.(Bila tafsiri)Hariri
Planned activities....actual implementation and commentsShughuli zilizopangwa .... halisi ya utekelezaji na maoniHariri
ikiwa jamii inatambua ya kwamba watoto ni wetu sote kwanini isijitoe kuwalea? hii inaonesha kwamba jamii inathamini zaidi watoto wao wa kuwazaa na kuwaacha wengine wakitaabika hivyo kauli ya pamoja tuwalee inabaki kama msemo tu tena usio na faida yoyote kwa taifa, hii inafanya taifa kuzidi kuwa masikini kwani pengine hao tunaowaacha wangesoma wangeweza kuwa mawaziri au hata viongozi wakubwa katika ngazi za juu.(Bila tafsiri)Hariri
umejifunza nini..ainisha vipengele muhimu vya kufanyiwa marekebisho(Bila tafsiri)Hariri
- kupeleka fomu za usajili wa familia zinazolea watoto walio katika mazingira hatarishi – -kufuatilia maendeleo na utendaji kazi wa kamati za watoto walio katika mazingira hatarishi na kuzijengea uwezo – -kutembelea na kuimarisha uhai wa vikundi vya worth na kuvijengea uwezo kiutendaji(Bila tafsiri)Hariri
(B)kufanya uhuishaji wa takwimu za watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi na mahitaji yao.Vilevile kujua ni watoto wangapi wamezidi umri wa chini ya miaka 18 na niwangapi wamesajiriwa kwa mara ya kwanza katika daftari la usajiri. – (C)Changamoto kubwa tuliokumbana nayo ni kutoka na geographia ya wilaya ya sikonge kuwa mbaya hivyo basi barabara nyingi zimekua zikipitika kwa shida sana .Vilevile kulingana na bajeti ya mradi posho iliyopangwa kwa wafunyakazi hazitoshi kabisa...(Bila tafsiri)Hariri
-kuhuwisha takwimu za awali za watoto walio katika mazingira hatarishi – -kufanya usajili wa familia zinazolea watoto wenye uhitaji – -kutambulisha mradi wa pamoja tuwalee kutoka jali watoto – c)posho ya kujikimu wakati tunapokuwa field haitoshi – -usafiri haukidhi viwango kulingana na eneo husika la mradi – d)posho iongezwe kwa kufuata uahalisia wa eneo husika – -usafiri uboreshwe ili kuepuka usumbufu unasababisha...(Bila tafsiri)Hariri
lengo la shirika letu ni kutokomeza vikwazo vya maendeleo na kuhakikisha kila binadamu anaishi maisha bora, hasa makundi yaliyosahaulika katika jamii na yanayoishi katika mazingira hatarishi.(Bila tafsiri)Hariri
kufuatilia shughuli zinazofanywa na kamati zinazo lea watoto yatima(Bila tafsiri)Hariri
FOMU YA TAARIFA YA MWEZI KUTOKA FIELD – 1.Jina la shirika 2.jina la mradi 3.wilaya 4.imetayarishwa na 4.tarehe 5.imepitishwa na – -vijiji vilivyotembelewa, lengo la matembezi 3. changamoto zilizojitokeza 4. kutokana na changamoto hizo unapendekeza nini kifanyike? 5. ni jambo gani jipya ililojifunza? 6. ainisha vipengele muhimu vya kushughulikiwa 7.unafikiri liboreshwe vipi? 8. hadithi ya mafanikio(Bila tafsiri)Hariri