Envaya

/TEYODEN/news: Kinyarwanda

BaseKinyarwanda
(image)(Not translated)Hindura
Donation(Not translated)Hindura
MAFUNZO YA UJASIRIAMALI YANAYOENDESHWA NA MTANDAO WA VIJANA (TEYODEN) YAENDELEA KATIKA WIKI YA TATU. – Sasa imeshafikia wiki ya tatu toka mafunzo ya anzisha na kuza wazo lako la biashara yanayoendeshwa na TEYODEN hapa,Temeke kwa kushirikiana na mwezeshaji kutoka I.L.O yanayosimamiwa na asasi ya Restless Tanzania. – Mafunzo haya yanachukua wastani wa wiki moja kwa kila kundi la vijana 30.Mpaka sasa...(Not translated)Hindura
(image)(Not translated)Hindura
TEYODEN NA TRA MAKAO MAKUU WAFANYA MAFUNZO KWA VIJANA 100, KUHAM ASISHA URASIMISHAJI WA BIASHARA NA ULIPAJI WA KODI. – (image) (image) – Tunasema kuwa hakuna wakati ambao vijana wanahitaji kuongeza juhudi za kujiajiri wenyewe kuliko kipindi hiki.Vijana wengi sasa wameanzisha biashara ili waweze kukidhi mahitaji ya kila siku ya maisha. – Upo umuhimu mkubwa wa vijana kupata elimu mbalimbali ili waweze...(Not translated)Hindura
International Youth Day – Start Date: 12 August 2012 – "Building a Better World: Partnering with Youth" – This year's International Youth Day (IYD) event was held on the 11th of August 2012 at the Mwembe Yanga Grounds in Temeke District. The event was a collaboration between the Ministry of Information, Youth Sports and Culture and UNFPA with support...(Not translated)Hindura
WIKI YA VIJANA YAISHA SALAMA MKOANI SHINYANGA HUKU WILAYA YA TEMEKE IKIIBUKA MSHINDI WA KITAIFA. – Maadhimisho ya wiki ya vijana ya mwaka 2012 yamefanyika mkoani shinyanga kwa kuhusisha halmashauri mbalimbali za wikaya na mikoa hapa Tanzania.Maadhimisho haya hufanyika kila mwaka kama wiki ya vijana ya kutathmini mipango ya vijana na kuweka vipaombele kwaajili ya maendeleo ya...(Not translated)Hindura
International Youth day emphasizes building a better world: Partnering with Youth – “To unleash the power of young people, we need to partner with them”- UN SG – Ban Ki-moon – Dar es Salaam - The UN system in the context of Delivering as One in Tanzania collaborated with the...(Not translated)Hindura
WASICHANA WALIOZAA CHINI YA UMRI WA MIAKA 20 NA AMBAO WAPO KATIKA MAZINGIRA HATARISHI WAPATA NAFASI NYINGINE YA KUPEWA MAFUNZO NA MITAJI ILI WAWEZE KUJIENDESHA KIMAISHA. – TEYODEN imefanya shughuli ya utambuzi wa wasichana walio katika mazingira hatarishi ambao pia wamezaa chini ya miaka 20 ili waweze kuwa wanufaika wa mradi wa mwaka mmoja utakao kuwa unawawezesha kusimama upya kama watu wengine katika jamii.Mradi huu...(Not translated)Hindura
Mafunzo ya project management Naivasha Kenya yatakuwa chachu ya mabadiliko ya vijana kuelekea ujasiriamali na utengenezaji ajira binafsi kwa vijana. – Siku 8 za mafunzo ya uendeshaji wa miradi yaliyoandaliwa kwa ushirikiano na ILO y2y fund pamoja na UNHABITAT youth fund zimebadilisha mtazamo wa mameneja 10 kutoka Tanzania.Mameneja hao kwa sasa, wanafikiria kuboresha miradi 10 ambayo ILO...(Not translated)Hindura
MABINTI KATIKA KATA ZA AZIMIO, CHARAMBE NA MBAGALA WAPATA MRADI MPYA WA KUWAJENGEA UWEZO. – Mradi mpya wa kuwajengea uwezo mabinti wa umri kati 15-19 umezinduliwa katika viwanja vya Zakhiem.Mradi huu ambao unategemea kutekelezwa kwa ubia...(Not translated)Hindura