Envaya
/stemmuco-malihai/post/4
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
MAZINGIRA ni uhai wetu sisi na vizazi vijavyo,yapasa tuwe na moyo wa kujitoa kuyahudumia
(Bila tafsiri)
Hariri
Tunapoadhimisha leo na kuwashangilia wanamalihai wahitimu wa mwaka 2013 Digrii.Uongozi wa malihai STEMMUCO. unawatakia mahafali mema tukikumbuka kupanda miti as we know it today
(Bila tafsiri)
Hariri
Wanamalihai STEMMUCO,Tunaomba wanachama wapya wa malihai mwaka wa 1,2,3 na masters waweze kujiunga na malihai ili tuweze kujumuika pamoja ktk mazngira
(Bila tafsiri)
Hariri
Wanakikundi wa malihai waliohitimu shahada katika chuo cha STEMMUCO (Stella Maris Mtwara University College) walikabidhiwa vyeti vya Malihai kama uthibitisho wa ushiriki wao na utambuzi wa mchango wao katika shughuli mbalimbali za kimazingira mkoani Mtwara.
(Bila tafsiri)
Hariri