Mchango wangu ni huu:baada ya uchunguzi usio rasmi nimegundua kuwa vijana wengi hukata taama kwa mambo yakiwemo haya; – Kutothaminiwa juhudi zao za kujitolea. – 2.kuona scout ni kazi bure isiyo na faida yoyote wala haioneshi maslahi kwao – USHAURI:Serikali iweke kiwango japo kidogo cha kuwatia hamasa wanachama wa scout ili ujione kuwa wanajaliwa.hata kama ni kazi ya kujitolea tu. | (Bila tafsiri) | Hariri |