Fungua

/MANGONET/news: Kiswahili

AsiliKiswahili
(image)(Bila tafsiri)Hariri
Kupitia mradi wa Utetezi, jinsia na UKIMWI unaofadhiliwa na GIZ, MANGONET imeendesha mafunzo mbalimbali katika Wilaya ya Masasi. Tarehe 20/4/2012 MANGONET iliendesha mafunzo ya Afya ya uzazi, jinsia na UKIMWI katika ukumbi wa mikutano uliopo katika ofisi ya MANGONET, mafunzo hayo yalishirikisha washiriki mbalimbali kutoka kila Kata za Wilaya ya Masasi. – Mwezeshaji wa mafunzo hayo alikuwa ni Bi. Tryphonia Malibiche mkunga wa Hospitali ya Wilaya...(Bila tafsiri)Hariri
(document) TAARIFA FUPI YA UTEKELEZAJI WA MRADI WA UTETEZI, JINSIA NA UKIMWI. – Mtandao wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali Wilayani Masasi (MANGONET) umetekeleza mradi wa kupambana na maambukizi ya UKIMWI kupitia shughuli za utetezi jinsia na UKIMWI chini ya ufadhili wa shirika la Ujerumani GIZ. – Kwa mkoa wa Mtwara mradi huu umetekelezwa katika Wilaya mbili za Masasi (MANGONET) na...(Bila tafsiri)Hariri
(image) – (image)(Bila tafsiri)Hariri
CommentsMaoniHariri
NovemberNovembaHariri
SeptemberSeptembaHariri
{month} {day}, {year}{day} {month}, {year}Hariri
SwahiliALLIANCE FOR SOCIAL CHANGE { UMAKI } ni shirika lisilo la kiserikali na watu wake wa kujitolea ni 1. KENETH MKATA 2. MOHAMED KIZERU 3. MWANAIDI SALIMUHariri
(unknown language)kiswahil(lugha nyingine)Hariri
Emailbarnabasnjenjema.comBarua pepeHariri
FacebookFacebookahHariri
Google+Google+Hariri
Share:Sambaza:Hariri
TwitterTwitterHariri