Ndugu wadau...!! Uongoz wa Dhulu Sports Club unapenda kuwajuza habari zifuatazo..... – 1.Bado club inahitaji wanachama hivyo kwa mdau yeyote anayependa kujiunga nasi nafasi zipo wazi anakaribishwa.... – 2.kuanzia wiki ijayo uongoz wa club utaanza tembelea shule husika jijini Mwanza kwa ajiri ya kufanya semina na wanafunzi pamoja na upigaji picha kwa ajiri ya utengenezaji wa vitambulisho vyao. – 3.Kwa wale waliolipia ada ya uwanachama uongozi unawaomba waje... | Brother partners ...!! The Sports Club discovered Uongoz you like kuwajuza following information ..... – 1.Bado club needs members so any member who is interested in joining us, there are clear opportunities is invited .... – 2.kuanzia uongoz the club next week will start visiting schools in Mwanza relevant for the function of holding seminars with students and employ photography for the manufacture of identification. – 3.Kwa those who pay membership... | Edit |