KAZI NA SHUGHULI ZINAZOSHUGHULIKIWA NA KIKUNDI CHA "WANAHARAKATI WA ELIMU, MAZINGIRA NA AFYA" (WEMA) – 1. Kikundi cha WEMA kinaendesha Maktaba ya Jamii ambayo ipo katika kijiji cha Mkalapa kilichopo wilaya ya Masasi. Maktaba ya WEMA ina vitabu vinavyokidhi mahitaji ya watu wa viwango mbalimbali vya kitaaluma kuanzia elimu ya watu wazima, elimu ya Awali, elimu ya Msingi, Sekondari, hadi chuo... | WORK AND ACTIVITIES ZINAZOSHUGHULIKIWA by a group of "activists EDUCATION, ENVIRONMENT AND HEALTH" (EMA) – 1. Group houses conduct EMA Community Library which is located in the village of Masasi District Mkalapa located. The library has good books vinavyokidhi needs of people from different levels of academic adult education, education, Primary education, Secondary, to the university. The... | Edit |