WASICHANA WALIOZAA CHINI YA UMRI WA MIAKA 20 NA AMBAO WAPO KATIKA MAZINGIRA HATARISHI WAPATA NAFASI NYINGINE YA KUPEWA MAFUNZO NA MITAJI ILI WAWEZE KUJIENDESHA KIMAISHA. – TEYODEN imefanya shughuli ya utambuzi wa wasichana walio katika mazingira hatarishi ambao pia wamezaa chini ya miaka 20 ili waweze kuwa wanufaika wa mradi wa mwaka mmoja utakao kuwa unawawezesha kusimama upya kama watu wengine katika jamii.Mradi huu... | (Not translated) | Hindura |