Ndugu wadau...!! Uongoz wa Dhulu Sports Club unapenda kuwajuza habari zifuatazo..... – 1.Bado club inahitaji wanachama hivyo kwa mdau yeyote anayependa kujiunga nasi nafasi zipo wazi anakaribishwa.... – 2.kuanzia wiki ijayo uongoz wa club utaanza tembelea shule husika jijini Mwanza kwa ajiri ya kufanya semina na wanafunzi pamoja na upigaji picha kwa ajiri ya utengenezaji wa vitambulisho vyao. – 3.Kwa wale waliolipia ada ya uwanachama uongozi unawaomba waje... | (Bila tafsiri) | Hariri |