Envaya

/handenidg/projects: English: WI0000E8944DAC4000009101:content

Base (Swahili) English

 

HANDENI DEVELOPMENT GROUP (HDG)

Ni kikundi kipya kinachoundwa mwaka April 2011 chenye wanachama zaidi ya 30 na wote ni wazawa wa Handeni bila kujali makazi yao yalipo,

Kikundi kinajumuisha wafanyakazi na wafanyabiashara mbalimbali wa Handeni.

Kikundi kitafahamika kisheria na kufuata kanuni zote husika.Pia kitajumuisha jopo la wanachama wenye fani husika katika Uongozi,wafanyabiashara,wanasheria,Saikolojia,Dokta(Mifugo/Binadamu),Ualimu,wanauchumi,wahasibu ambao tutashauriana jinsi yakupiga hatua zaidi kimaendeleo kati yetu kama wakazi wa Handeni.

Kikundi hicho kimeundwa kusaidiana kuongeza mwendokasi wa maendeleo mbalimbali kwa wananchi wa Handeni,haswa wanachama wake kupitia mbinu mbalimbali kama wafanyavyo sehemu nyingine duniani.kama;-

i)                    Kuanzisha HDG SACCOS ili wanachama waweze kuweka na kukopa kwa utaratibu maalum kati ya kikundi,bank au taasisi mbalimbali za kifedha.

ii)                  Ushauri malimbali wa kibiashara,sheria,makazi kupitia vikao maalum na website itakayoanza mapema April 2011 hii.(www.handenidg.org)

iii)                Kuwapatia ajira vijana wa Handeni kupitia miradi ya kikundi hiki kutokana na kiwango cha elimu yake.

iv)                Kumsaidia mwanachama katika dharula kama kilio,ugonjwa kwakutoa na kukusanya michango kwa matibabu au mazishi kwa haraka na ikiwezekana hata kwakumkopesha ili kumuondolea tatizo kwanza.

v)                  Kupeana taarifa mbalimbali za matukio ya Handeni kama sherehe(Harusi),na majanga(vifo) kwa walio nje na ndani ya mji wa Handeni.(Nani.Lini,Wapi,Saa ngapi)

vi)                Kusaidiana kwa mikopo kupitia HDG SACCOS na ushauri katika Mipango binafsi kama ujenzi,biashara,ndoa.

vii)              Kurudisha mshikamano/muungano “network” kwa wakazi wa Handeni waliotawanyika sehemu mbalimbali Tanzania na nje ya nchi.

viii)            Website itakuwa na sehemu yamatangazo kwaajiri yatakayo tangaza nafasi za kazi zinazotokea Handeni na itatoa nafasi yakujitangaza kwa kuweka CV yako na maelezo mafupi.(labour market).

ix)                Kufanya kitu chochote cha maendeleo ya wilaya bila kujari faida ya kikundi kila mwaka.

 

MALENGO YA BAADA YA MWAKA MMOJA WA KIKUNDI.

Kufungua miradi mikubwa yakukuza kipato cha kikundi kama;-

 

            KIUCHUMI,

  • o   Kununua eneo kubwa kwa ufugaji wa kisasa na kufungua “butcher” letu binafsi.
    • §  Kuku wakienyeji na kisasa (Mayai na Nyama)
    • §  Mbuzi na G`ombe (Nyama na Maziwa)
    • §  Mifugo mingine kama Bata, Kanga
  • o   Kufungua miradi mbalimbali katikati ya jamii kutokana na mahitaji.
    • §  Pikipiki na Bajaji nje na ndani ya Handeni
    • §  Stationary na internet ya kisasa
    • §  Salon yakisasa kwa jinsia zote
    • §  Maduka mbalimbali
  • o   Kuanza mkakati wa kuomba mkopo mkubwa kwaajir ya mradi mmoja mkubwa.

 

KIJAMII,

  • o   Kuwa na siku ya mazingira Handeni kwa kugharamia au kufanya usafi wenyewe na viongozi wawilaya.
  • o   Kuwa na timu ya mpira wa miguu na pete.
  • o   Kutafuta mdhamini mkuu wa kikundi ndani au nje ya nchi.
  • o   Kutengeneza vitambulisho na mikataba

 

 

*Agenda za kikao cha kwanza tarehe 24 April 2011;-

ü  Kukubaliana na kuiangalia kiundani mikakati kama ilivyotajwa na kuongeza mawazo

ü  Kugawana majukumu yakuandaa katiba na “business plan”,mipango ya SACCOS na kukiandikisha kikundi na lini tuanze rasmi.

ü  Mheshimiwa nani anafaa kuwa mlezi wa kikundi.

ü  Nani anafaa kuwa mwanachama na hayupo kwenye orodha.

ü  Kiasi gani tuweke kila mwezi kwaajir ya kikundi na SACCOS.

ü  Kushuhurikia permanent Address yetu.(Dirisha,Box,Simu na secretary)

ü  Lini iwe “deadline” na kikundi kitangazwe rasmi.

ü  Kukusanya mawazo na kuyagawa kwa wahusika ili yafannyiwe kazi.

ü  Mengineyo.

 

 

Development Handeni GROUP (HDG)

It's a new group in April 2011 with kinachoundwa members over 30 and all are indigenous Handeni regardless of their homes when,

The group includes employees and various business Handeni.

Group kitafahamika legal and compliance regulations are sika.Pia kitajumuisha panel members with professions involved in leadership, business, law, psychology, Doctor (Livestock / Human), Education, economists, accountants, who will consult how yakupiga steps further development of us as residents of Handeni.

The group is configured to help increase the speed of various development Handeni citizens, especially its members through various methods as do other parts duniani.kama: -

i) Establish HDG SACCOS to members to keep borrowing by special order of the group, bank or financial institutions.

ii) Advice malimbali business, law, housing through special forums and website in early April 2011 itakayoanza this. ( www.handenidg.org )

iii) Providing Handeni youth employment through group projects due to the level of his education.

iv) Supporting member in an emergency such as cries, kwakutoa disease and collect donations for medical or funeral for a quick and possibly even kwakumkopesha to deprive the problem first.

v) information sharing Handeni various events such as festivals (Wedding), and disasters (deaths) for those outside and inside the city of Handeni. (Nani.Lini, Where, how many hours)

vi) To assist with loans through SACCOs HDG and advice in private plans as construction, business, marriage.

vii) Re-integration / integration "network" for residents of Handeni scattered in various places in Tanzania and abroad.

viii) Website will be going part yamatangazo kwaajiri announced vacancies occurring yakujitangaza Handeni and will provide the opportunity to put on your CV and a brief description. (labor market).

ix) do anything for development of the tiller rope territory without the benefit of the group each year.

GOALS FOR ONE YEAR AFTER THE GROUP.

Open projects yakukuza income group as: -

ECONOMIC,

  • o Buy a large area with modern farming and open the "butcher" Our private.
    • § Chicken were locals and modern (eggs and meat)
    • § G 'Goats and cattle (beef and dairy)
    • § other livestock such as ducks, Tribal
  • o Open the middle range of community projects from requirements.
    • § Motorcycles and Bajaji outside and inside the Handeni
    • § stationary and the modern internet
    • § Salon yakisasa for both sexes
    • § different stores
  • o Start a strategy to apply massive loan kwaajir one huge project.

SOCIAL,

  • o Be on the environment Handeni for financing or make clean themselves and the leaders level.
  • o Having a football team and rings.
  • o Seeking chief sponsor of the group inside or outside the country.
  • o Making cards and contracts

* Agenda of the first session on 24 April 2011; -

Agree with u look at it in detail strategies mentioned and add ideas

Sharing responsibilities are yakuandaa constitution and "business plan", plans to kukiandikisha SACCOS group and when we officially start.

u Mr. Who should be guardian of the group.

Who are suitable to become a member and is not on the list.

How much u put every new kwaajir group and SACCOs.

u Kushuhurikia our permanent address. (Window, Box, Phone and Secretary)

When will u be "Deadline" and the group officially kitangazwe.

Collecting ideas and are multiplied by the perpetrators to yafannyiwe work.

u Other.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
March 8, 2011
Development Handeni GROUP (HDG) – It's a new group in April 2011 with kinachoundwa members over 30 and all are indigenous Handeni regardless of their homes when, – The group includes employees and various business Handeni. – Group kitafahamika legal and compliance regulations are sika.Pia kitajumuisha panel members with professions involved in leadership, business, law, psychology, Doctor (Livestock...