UZINDUZI WA (image) TOVUTI – Shirika la African Heritage Foundation nchini Tanzania limezindua rasmi Tovuti yake jana Tarehe 24,Mwezi wa nane 2010 hapa Ukonga Kata ya Kitunda.Tovuti hiyo ilizinduluwa na Bwana Emmanuel.R.Kapongo mwakilishi wa Jumuiya ya watanzania washio nchini Italia ''Communita Tanzaniana in Italia".Ambayo ni jumuiya rafiki wa A.H.F.Hafla hiyo ya uzinduzi... | (Not translated) | Hindura |