MKUTANO MKUU WA MWAKA (AGM)JUNI 21,2014. – Mwenyekiti anawataarifu wanachama,wajumbe,wadau na jamii yote kuwa juni 21 2014,chawaumavita wanatarajia kufanya mkutano mkuu wa mwaka,katika viwanja vya mazoezi tiba manzese ukombozi,saa 3 asubuhi. – agenda za mkutano mkuu ni – 1.marekebisho ya katiba, – 2.ripoti ya kamati tendaji 2013/2014, – 3.mapato na matumizi. – wajumbe wote wana karibishwa katika... | (Not translated) | Edit |