Envaya

Ubusobanuro: English (en): User Content: WI000DAED275B4C000002609:content

Base (Icyongereza) English

Sango Kipozi

As one of Tanzania's leading social entrepreneurs, Sango Kipozi is a household name in Tanzania. Connected to numerous leaders of Tanzanian civil society, Sango has been invaluable in helping Envaya spread across Tanzania.  She is currently the Executive Director of the NGO JEAN Media, and has recently launched a community radio station in Mtwara.

Anthony Walton

Anthony Walton has written about social justice issues for publications ranging from The New York Times to Harpers and the Oxford American. His 1999 Atlantic Monthly essay “Technology versus African Americans” was one of the first to note the importance of bridging the digital divide in the United States and the wider world. With extensive experience in journalism, publishing, and film, he works to help Envaya explain its goals and purposes in the interest of expanding its reach to the populations who can most benefit from it. He teaches at Bowdoin College.

Larry Diamond

Larry Diamond is a leading contemporary scholar in the field of democracy studies. He is presently a professor of Sociology and Political Science at Stanford University, where he teaches courses on democratic development and supervises the democracy program at the Center on Democracy, Development, and the Rule of Law. He has published extensively in the fields of foreign policy, foreign aid, and democracy. Diamond has served as an advisor to numerous governmental and international organizations, including the U.S. State Department, United Nations, World Bank, and U.S. Agency for International Development.

Jeff Schnurr

Jeff Schnurr Envaya co-founder Jeff Schnurr travelled in over 35 countries before landing in Tanzania, where he began the tree planting initiative that grew into Community Forests International. Comfortable speaking English, Spanish or Swahili, Jeff has done much to spread the techniques of forest renewal around the globe and has planted over half a million trees in the process. From his experiences, Jeff has a keen understanding of the needs and hurdles facing small, community-based organizations in underdeveloped regions and recognizes the importance of bridging the technological gap between these organizations and the larger development community.

Mary J. Herman

Mary's wealth of knowledge and experience in diverse fields is a distinctive strength. In her career she has worked and volunteered in the healthcare, social services, non-profit, education, and governmental/public policy sectors. As a successful businesswoman and non-profit professional, the First Lady of Maine during the Governor King administration, and founder of her own consulting firm, Mary’s encouragement, counsel, and expertise have been invaluable to Envaya.

Charlie Hale

As a co-founder of the Global Health Corps, Charlie Hale brings significant non-profit and international development experience to the Envaya team. He graduated from Colby College with a degree in Government, and currently works on the Public Policy team at Google focusing on geopolitical issues.

Eric Ng'maryo

Eric Ng'maryo is one of Tanzania's leading businessmen.  He founded and owns a successful cocoa export company, Tanganyika Film & Safari Outfitters, and Ndarakwai Ranch, and is one of the country's most well-established lawyers.  He's actively involved in supporting Tanzanian civil society, and is very excited about Envaya's potential to empower local development organizations.

 

Mbwana Alliy

Tanzanian entrepreneur Mbwana Alliy is passionate about high-tech development in East Africa.  A graduate of Stanford Business School, he recently founded the East Africa tourism site Yellow Masai.

Sango Kipozi

Kama mmoja wa wafanyabiashara wakubwa nchini,Sango Kipozi ni maarufu sana kote Tanzania. Anaushirikiano mkubwa na viongozi mbalimbali wa vyama vya kiraia Tanzania, na amekuwa na mchango mkubwa sana kuisaidia Envaya kuenea Tanzania. Kwa sasa Sango ni Mkurugenzi Mtendaji wa shirika lisilo la kiserikali Jean Media , na hivi karibuni amezindua kituo cha redio ya jamii kwenye mkoa wa Mtwara.

Larry Diamond

Larry Diamond ni msomi maarufu wa kisasa katika uwanja wa masomo ya demokrasia. Kwa sasa Larry ni profesa wa Sayansi ya Jamii na Sayansi ya Siasa katika Chuo Kikuu cha Stanford, ambapo anafundisha kozi ya maendeleo ya kidemokrasia na pia husimamia kozi ya demokrasia katika Kituo cha Maendeleo ya Demokrasia, na Utawala wa Sheria . Larry Diamond amechapisha sana katika nyanja ya sera za kigeni, misaada ya nje, na demokrasia. Diamond aliwahi kuwa mshauri wa mashirika mbalimbali ya kiserikali na ya kimataifa, ikiwa ni pamoja na Idara ya Ikulu ya Marekani, Umoja wa Mataifa, Benki ya Dunia, na Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa.

Jeff Schnurr

Jeff SchnurrJeff Schnurr ni mwanzilishi mwenza wa Envaya. Jeff ni msafiri mkubwa, alisha tembelea nchi zaidi ya 35 kabla ya kutua hapa Tanzania, ambapo alianzisha mpango wa kupanda miti ambao ikajakuwa asasi ya kijamii inayoitwa Community Forrests International . Jeff anazungumza Kiingereza, Kihispania na Kiswahili, na amefanya kazi kubwa sana kueneza mbinu ya kupanda msitu kote duniani. Katika mchakato huu kwa sasa amepanda miti zaidi ya nusu milioni. Kutokana na uzoefu wake, Jeff anaelewa mahitaji na vikwazo yanayowakabili asasi ndogoi za kijamii na umuhimu wa kuziba pengo la kiteknolojia kati ya mashirika haya na mashirika makubwa ya kimaendeleo.

Mary J. Herman

Mary anautajiri wa maarifa na uzoefu katika nyanja mbalimbali. Mary amefanya kazi na amekitolea katika huduma ya afya, huduma za jamii, elimu ya kijamii, na sekta za kiserikali. Kama mfanyabiashara mwenye mafanikio na mtaalamu wa biashiara zisio na malengo ya kifaida, pia ni mwanamke wa Kwanza wa Maine wakati wa utawala wa Mfalme Gavana , na mwanzilishi wa kampuni ya ushauri yake mwenyewe. Mary amekuwa faraja kwa Envaya, ushauri na utaalamu umekuwa mchango mkubwa sana kwa Envaya.

Charlie Hale

Kama mwanzilishi mwenza wa Global Health Corps , Charlie Hale huleta uzoefu mkubwa kuhusiana na maendelo ya kimataifa kwa timu Envaya. Alimaliza Chuo Colby College na shahada ya masomo ya Kiserikali, na kwa sasa anafanya kazi katika timu ya serra katika kampuni ya Google kuhusiana na masuala ya kijiografia na kisiasa.

Eric Ng'maryo

Eric Ng'maryo ni mmoja wa wafanyabiashara wakubwa Tanzania. Anamiliki kampuni yenye mafanikio makubwa ya kuuza kakoo nje ya nchi inayoitwa Tanganyika Film & Safari Outfitters , na Ndarakwai Ranch , na ni moja wa wanasheriaya imara nchini Tanzania. Anajishughulisha sana katika kazi za kijamii na anamatarajio mengi kutoka kwa Envaya.

 

Mbwana Alliy

Mbwana Alliy ni mwekezaji na mfanya biashara mwenye hauku ya maendeleo ya kiteknolojia katika Afrika Mashariki. Amesoma Chuo cha Stanford Business College, na hivi karibuni ameanzisha tovuti ya utalii ya Afrika Mashariki inayoitwa Yellow Masai .


Kugirango ugire icyo uhindura kubyo wasemuye, ugomba kwinjira mu rubuga Injira · Iyandikishe

Ibyasobanuwe

ramadhan
23 Mata, 2012
Ubu busobanuro bwakuwe mu nyandiko ya kera
ramadhan
23 Mata, 2012
Sango Kipozi – (image) As one of Tanzania's leading social entrepreneurs, Sango Kipozi is a household name in Tanzania. Connected to numerous leaders of Tanzanian civil society, Sango has been invaluable in helping Envaya spread across Tanzania. She is currently the Executive Director of the NGO ...
Ubu busobanuro bwakuwe mu nyandiko ya kera
ramadhan
23 Mata, 2012
Sango Kipozi – (image) Kama mmoja wa wajasiriamali wa kijamii wakubwa Tanzania, Sango Kipozi anajulikana kote Tanzania. Anajulikana na viongozi mbalimbali wa vyama vya kiraia Tanzania, Sango ametoa mchango mkubwa sana katika kusaidia Envaya kuenea Tanzania. Yeye kwa sasa ni Mkurugenzi Mtendaji wa shirika lisilo la kiserikali Jean Media , na hivi karibuni wamezindua kituo cha redio ya jamii katika Mtwara. ...
Ubu busobanuro bwakuwe mu nyandiko ya kera
envayateam
23 Mata, 2012
Sango Kipozi – (image) Kama mmoja wa wajasiriamali wa kijamii wakubwa Tanzania, Sango Kipozi anajulikana kote Tanzania. Anajulikana na viongozi mbalimbali wa vyama vya kiraia Tanzania, Sango ametoa mchango mkubwa sana katika kusaidia Envaya kuenea Tanzania. Yeye kwa sasa ni Mkurugenzi Mtendaji wa shirika lisilo la kiserikali Jean Media , na hivi karibuni wamezindua kituo cha redio ya jamii katika Mtwara. ...
Ubu busobanuro bwakuwe mu nyandiko ya kera
envayateam
23 Mata, 2012
Sango Kipozi – (image) Kama mmoja wa wajasiriamali wa kijamii wakuu Tanzania, Sango Kipozi anajulikana kote Tanzania. Anajulikana na viongozi mbalimbali wa vyama vya kiraia Tanzania, Sango ametoa mchango mkubwa sana katika kusaidia Envaya kuenea Tanzania. Yeye kwa sasa ni Mkurugenzi Mtendaji wa shirika lisilo la kiserikali Jean Media , na hivi karibuni wamezindua kituo cha redio ya jamii katika Mtwara. ...
Ubu busobanuro bwakuwe mu nyandiko ya kera
envayateam
5 Werurwe, 2012
Sango Kipozi – (image) Kama mmoja wa wafanyabiashara wakubwa nchini,Sango Kipozi ni maarufu sana kote Tanzania. Anaushirikiano mkubwa na viongozi mbalimbali wa vyama vya kiraia Tanzania, na amekuwa na mchango mkubwa sana kuisaidia Envaya kuenea Tanzania. Kwa sasa Sango ni Mkurugenzi Mtendaji wa shirika lisilo la kiserikali Jean Media , na hivi karibuni amezindua kituo cha redio ya jamii kwenye mkoa wa Mtwara. ...
Ubu busobanuro bwakuwe mu nyandiko ya kera