Parts of this page are in Swahili. Edit translations
TEYODEN KWA NA KITUO CHA VIJANA CHA MAKANGARAWE WAFANYA TAMASHA KUHADHIMISHA SIKU YA UKIMWI DUNIANI KATIKA VIWANJA VYA MAKANGARAWE.
Maneno ya utangulizi
Kwanza kabisa napenda kuchukua nafasi hii kuwapongeza vijana wa kituo cha vijana cha Mangarawe. Jamani si mnajua kwamba sio rahisi sana kufanya kama wenzetu wa Makangarawe walivyofanya,basi tuwape ongera zao.Kwa kweli wamefanya kazi nzuri.Ongera bwana Ismail Mnikite.
Maadhimisho haya yalikuwa ya siku ya UKIMWI duniani huja
Kazi zilizofanyika
December 2, 2010
Comments (1)