Envaya

Tanzania Drivers Association

MNAZI MMOJA/KAWAWA st, Tanzania

kuunganisha madereva wote Tanzania bila kujali kazi anayofanya au jinsia yake,itikadi au chombo anachoendesha.
Amakuru agezweho
Tanzania Drivers Association yashyizeho Amakuru agezweho.
Tunaandaa semina kwa madereva wote wa masafa marefu na mafupi nchini Tanzania ambayo itafanyika siku ya jumamosi ya tarehe 5/6/2010 saa tatu na nusu asubuhi katika ukumbi wa nyumbu hall uliopo P T A au viwanja vya mwalimu Nyerere zamani sabasaba kilwa road
10 Gicurasi, 2010
Tanzania Drivers Association yasanze Envaya.
10 Gicurasi, 2010
Ibyiciro
Aho uherereye
MNAZI MMOJA/KAWAWA st, Dar es Salaam, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye